Faida za kuoa ni nyingi kuliko hasara

Faida za kuoa ni nyingi kuliko hasara

iamriq_arthur

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2021
Posts
440
Reaction score
1,086
natumai mu wazima wa afya,
Nimekuja hapa kuwashauri wale jamaa wa KATAA NDOA FC nadhani watakuwa bado hawajafikia ile situation ya kushindwa kucontrol upweke, unaweza ukawa na kila kitu kwenye maisha yako, lakn kama Hujaoa na hauna mtoto ndani ni sawa na bure tu,

Namaanisha utakua unaishi kama mtu mfu, maana unakua kama hauna effect yotote hapa duniani,
Mwanaume ili uwe kamili unatakiwa uwe na mke ndani wa kukuliwaza kwa changamoto mbali mbali utakazokua unapitia huko kwenye mitikasi zako za kutafta maisha .


NI HIVO TU, WA KUNIELEWA NA ANIELEWE
 
natumai mu wazima wa afya,
Nimekuja hapa kuwashauri wale jamaa wa KATAA NDOA FC nadhani watakuwa bado hawajafikia ile situation ya kushindwa kucontrol upweke, unaweza ukawa na kila kitu kwenye maisha yako, lakn kama Hujaoa na hauna mtoto ndani ni sawa na bure tu,

Namaanisha utakua unaishi kama mtu mfu, maana unakua kama hauna effect yotote hapa duniani,
Mwanaume ili uwe kamili unatakiwa uwe na mke ndani wa kukuliwaza kwa changamoto mbali mbali utakazokua unapitia huko kwenye mitikasi zako za kutafta maisha .


NI HIVO TU, WA KUNIELEWA NA ANIELEWE
Unaweza kuliwazwa au kuchakazwa yote yanawezekana 😜😜ingawa ndoa ni tamu tamu.
 
Za kuambiwa changanya na zako maana kupanga ni kuchagua
 
natumai mu wazima wa afya,
Nimekuja hapa kuwashauri wale jamaa wa KATAA NDOA FC nadhani watakuwa bado hawajafikia ile situation ya kushindwa kucontrol upweke, unaweza ukawa na kila kitu kwenye maisha yako, lakn kama Hujaoa na hauna mtoto ndani ni sawa na bure tu,

Namaanisha utakua unaishi kama mtu mfu, maana unakua kama hauna effect yotote hapa duniani,
Mwanaume ili uwe kamili unatakiwa uwe na mke ndani wa kukuliwaza kwa changamoto mbali mbali utakazokua unapitia huko kwenye mitikasi zako za kutafta maisha .


NI HIVO TU, WA KUNIELEWA NA ANIELEWE
We umeoa?
 
natumai mu wazima wa afya,
Nimekuja hapa kuwashauri wale jamaa wa KATAA NDOA FC nadhani watakuwa bado hawajafikia ile situation ya kushindwa kucontrol upweke, unaweza ukawa na kila kitu kwenye maisha yako, lakn kama Hujaoa na hauna mtoto ndani ni sawa na bure tu,

Namaanisha utakua unaishi kama mtu mfu, maana unakua kama hauna effect yotote hapa duniani,
Mwanaume ili uwe kamili unatakiwa uwe na mke ndani wa kukuliwaza kwa changamoto mbali mbali utakazokua unapitia huko kwenye mitikasi zako za kutafta maisha .


NI HIVO TU, WA KUNIELEWA NA ANIELEWE
Hoja nyepesi nyepesi hizi. Ndio umetoka kupewa mbususu ukajiona mjanja mwenyewe uje hapa kuanzisha uzi😂
 
natumai mu wazima wa afya,
Nimekuja hapa kuwashauri wale jamaa wa KATAA NDOA FC nadhani watakuwa bado hawajafikia ile situation ya kushindwa kucontrol upweke, unaweza ukawa na kila kitu kwenye maisha yako, lakn kama Hujaoa na hauna mtoto ndani ni sawa na bure tu,

Namaanisha utakua unaishi kama mtu mfu, maana unakua kama hauna effect yotote hapa duniani,
Mwanaume ili uwe kamili unatakiwa uwe na mke ndani wa kukuliwaza kwa changamoto mbali mbali utakazokua unapitia huko kwenye mitikasi zako za kutafta maisha .


NI HIVO TU, WA KUNIELEWA NA ANIELEWE
Kuhusu kuwa kamili bado ukioa na ukakosea msemo niuleule (mimi binadamu sijakamilika) kuhusu hiyo effects niswala la mda itoshekusema ukifa ndo mwisho wako.na kuhusu sijui mambo ya thamani tafuta hela,binafsi sitaki kuoa sababu kuu zaidi ni mgawanyo wa hela zangu mi.i sio Fala kiivyo.
 
Back
Top Bottom