Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAR haina tofauti na gobole kila ukipga lazima ukoki mkuu
natamani hawa wanaoiponda jkt waende halaf warud wawaelimishe mwenzio, yaan raha sana ukifungua moyo na ukanywa maji mengi moyo ukaelea
Naona ilikuea njia moja ya kuwapa wajeshi fursa ya kutembea na dada zenu tuu. Maana ilifika hatua dada zenu kufanyiwa hadi vyooni. Au hamkujua hili??? Ukaka mavu hata nyumbani unaweza kuupata ukitaka. Unaweza ukawa umerudi mlokole jina tuu.
mm n mmoja wa waliopita jexh 833kj oljoro.faida zpo kdogo xana kama ku2mia claha,mk up.lakn c muhimu xana kuliko kuliko hzo hela zinge2mika kuwaxomexha waliokoxa mikopo.kuna faida gan ya kujua ku2mia silaha na hku umepata chuo umexhindwa kwenda sababu huna mkopo.serikal angalie vipaumbele vya taifa kwanza.
mm n mmoja wa waliopita jexh 833kj oljoro.faida zpo kdogo xana kama ku2mia claha,mk up.lakn c muhimu xana kuliko kuliko hzo hela zinge2mika kuwaxomexha waliokoxa mikopo.kuna faida gan ya kujua ku2mia silaha na hku umepata chuo umexhindwa kwenda sababu huna mkopo.serikal angalie vipaumbele vya taifa kwanza.
teh teh teh tulikuwa wote mi nilikuwa koi ya mabingwa F koy, vip embakasi ulikuwa unaudhuria kwel ama ulikuwa doja
kweli aise nini.nani.izo ela nani.wangeziingiza kwenye nn.i.nan ya mikopo.watu tusome mm.nimekosa mkopo nimeichukiaa ad jkt
faida zingeonekana kama vijana wote wanaotoka jkt wenye sifa za kwenda vyuo tungepata mikopo but kwakua wamepoteza billions of money jkt na kuxhindwa kutupa mikopo mm ntagoma sana na xina cha uzalendo wala nn kama serikal imeshindwa kunionyesha uzalendo mm.ntawaonyesha vp??? tena izo silaha wametufundixha wawe makin.xana zixije kuwageuka siku NYAMA ZA MBAVU
Sasa ni meamini Duniani kuna watu na pia viatu .Nilijua janja ya Wakoloni kuzivuruga mbinu za Tanzania kuelekea mapinduzi ya kiuchumi kwa kuwatumia badhi ya Wajinga wachumia tumbo , kumbae mpaka sasa mijitu kama wale ipo mfano wewe .Lipumbavu sana wewe au utakuwa siyo Mwafrika NGANGAFU wewe , sasa hivi Watanzania na Afrika kwa ujumla tumebadilika tunataka makosa yote yaliyotokea enzi flani zinasahihishwa na kuyaweka mambo sawa yaani vijana wajielewe , waelewe umuhimu wao kwa Taifa , Wajue umuhimu wa uzalendo , Ujasili wasiendeshwe na Mikoloni , Wajui mbinu mbalimbali za kupambana na mazingira magumu ya kimaisha , kijamii , kiuchumi , kisiasa , na nk.
Kwa hiyo achana na ujinga wa kudanganya eti Dada zenu wanafanyiwa chooni akina nani mkuda mkubwa na Jangili la maendeleo . Jua viojana wote wataenda JKT hata muhonge , na mkipitia hata kwa wajinga wachache mtazinguliwa tu Mikoloni mambo leo nyie.
haa haa haa huyu mzee nilikuwa namkubal sana pamoja na Rsm alitufanyia mishe tukachek kombe la dunia, vp unamkumbuka mzee wa kurut uelekeo main gate unaingia general ofis unadumbukia embakasi tukutane K1, bado mpo?
teh teh teh, huyu alikuwa ndo (DO) Doja's ofisa nn? Dakika za mwisho vijana walikuwa wanaingia dukan kuchukua mikate na soda then wanashuka porin wakat huo wenzao wapo shamba dunia
wewe unasema nn nani nn ww kuja hapa nan ww nin nan nyama za mbaavuu
mm nilikua nakaa umasaini uko sehemu flani.iv panaitwa kwa rasi na jamaa mmoja wa F coy anaitwa frank shirima kama unamjua