Faida za kutovaa nguo ya ndani

Faida za kutovaa nguo ya ndani

Daaahh,,broo
Hayo maneno ndio yanaandikwa pale ktk mlango wa thieta au nimeyafananisha broo,
Kama hili neno phenomenon kwa vibogoyo ni aghlabu saana kulitamka.
Broo tulianza kwa lugha yetu sasa ungenifahamisha tu kwa lugha yetu
Sisi wengine hadi tulewe konyagi kwanza ndio tunasoma hio lugha[emoji1321]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nitaonekana chizi hapa nilipo
 
Unatembeaga usiku mno kwanini usiache?

Au ndo maruhani wako wanakutaka
Nina ladha zangu.. Napenda sana bumunda kavu lililokolea rangi lakini... Halafu laini kama mapupu.. Lisiwe tepetevu bali nyevu kama umande wa ashua
 
Sidhani kama kuna haja ya kuisogeza, mambo yamerahisishwa.
20180204_111112.png

Ni mwendo wa kutanua miguu tu.

20180204_110729.png
 
Nianze katerero au abdalla kichwa wazi apite mazima mithili ya mwanamfalme aingiaye katika kasri la baba yake??
Kabisa kabisaaaa autafute Kwanza mlenda wa Lemutuz huku kitumbua kikitetemeka taratibu kupokea muhogooo
 
Back
Top Bottom