Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee sie akina Issa....tutafanyaje sasa!! maana huyu mdudu yupo kila konaNgozi ya nguruwe hutumika kutengeneza layers za capsules kama vile amoxicilin
Hasara za nguruwe ni kumla akiwa mbichi au kafa bila sababu FULL STOP!kitu mbuzi katoliki na faida zake ila vipi kuhusu hasara zake
Unakosa utamu mzeeHata akiongeza nguvu za kiume,sitokuja kumtia tumboni.😎😎😎
Alafu nyama yake ukiichemsha ukaila hivyo hivyo inasaidia sana kwa wale wenye vidonda vya tumbo1. Nyuzi za kushonea wanadamu hutengenezwa kutoka Nyama ya Ngozi ya huyu mnyama.
2. Insulin ya kuwatibu wagonjwa wa kisukari hutoka kwa hawa wanyama.
# PIGS SAVE LIVES
kitu mbuzi katoliki na faida zake ila vipi kuhusu hasara zake
kama ushawahi kunywa amoxilin basi anza kula tu na nguruwe mzeeHata akiongeza nguvu za kiume,sitokuja kumtia tumboni.[emoji41][emoji41][emoji41]
Unakosa utamu mzee
kama ushawahi kunywa amoxilin basi anza kula tu na nguruwe mzee
.... huwa wanajifanya kurukaruka lakini wanakuja kumla kwa njia nyingine kwa kupenda au kutokupenda.kama ushawahi kunywa amoxilin basi anza kula tu na nguruwe mzee
Be positive and adjust your mindset only thatAisee sie akina Issa....tutafanyaje sasa!! maana huyu mdudu yupo kila kona
How!! be specific and direct to the point.....Be positive and adjust your mindset only that