Faida za Parachichi katika mwili wa Binadamu

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736


Habarini wanajukwaa, kwa wale wenzangu ambao kidogo mmegusa Biology Huwa nikila parachichi hususani ninaposhushia na ubwabwa, nahisi hali ya msisimko wa mwili kuongezeka.

Nimefanyia majaribio kama mara tatu hivi Nimegundua nikila parachichi na wali kwa pamoja msisimko unakuwa mkubwa ajabu.

Naomba Darasa lenu parachichi linaongeza nguvu za kiume?



 
duh.....bado makande tu sasa...lo

mara matikiti,mara asali,mara matango,sasa parachichi..lol

mkirudi mtakuja na mapera lol
 
sasa ukishapata huo msisimko hizo nguvu za kiume unazipimaje kwa kupiga punka u???
 
Unajua kuna watu wana aleji ya vitu fulani mimi nikila nyama ya ng'ombe mimi embe, mimi tango..... Ili mradi wsatu hawa hudhurika kwa vitu ambavyo
ni vya kawaida katika jamii, Hata kwa hili wakati mewingine huwa nahisi kuna watu wananufaika zaidi na vyakula fulani kuliko wengine kwa hiyo nafikiri ni bora ukianza kufanya utafiti wa vyakula gani vina manufaa mwilini mwako!
 
hivi msisimko ndio nguvu za kiume.

sasa ukishapata huo msisimko hizo nguvu za kiume unazipimaje kwa kupiga punka u???
Wakati mwingine tuwe tunaelewa mapema kuna lugha zinakuwa ngumu
kutumia kwa hiyo unaweza kuelewa tu. Kwa kifupi kila stimulation husababishwa
na msisimko lakini si kila msisimko husababisha stimulation . Huo ni mtazamo wangu tu!!
 
Kuna wanaosema usichanganye dini na siasa sijui nitakosea nikisema
usichanganye dini na sayansi? Au hilo pepo linapatikana kwenye parachichi
au mchele?

hapo hakuna sayansi yoyote ni mambo ya kiroho.dalili mojawapo ya hili pepo ni hiyo uliyotaja.karibu..
 
Mkuu GAZETI huo utafiti wako upeleke UDSM hili nawe upewe PHD kama Mzee wa kaya
 
hapo hakuna sayansi yoyote ni mambo ya kiroho.dalili mojawapo ya hili pepo ni hiyo uliyotaja.karibu..

Hivi ilivyoandikwa Mithali 5:18 (Chemchem yako ibarikiwe nawe umfurahie mke wa ujana wako) hili nalo ni pepo la ngono?
Kweli Mhe. Dr. Mama Getrude Rwekatare anatakiwa afundishe waumini wake kwa kina zaidi.
 
Sure!parachichi inamwongezea sana mtu hamu la tendo la ndoa!kula parachi ili ndoa yako iwe salama
 
Mpendwa, hivi wewe unajua unachoamini? Au unaamini unachojua?
Kama swali alilouliza huyu ndugu ni pepo la ngono, basi kufanya tendo la ndoa na mkeo/mumeo wa ndoa ni pepo la ngono pia.

mwache aje apate maombezi,sisi waliokoka tuna mengi ya ziada mpendwa.hakika bwana anaweza,na anaweza kufanya makubwa juu ya huyu mwenye hili tatizo.mtumishi na wewe karibu hakika hutarudi kama ulivyokuja...pili usitetee ngono kwa kutumia vitabu vya mungu.
 
mbona parachichi na wali nayalaga mara nyingi na sijawahi huo msisimko?huo utafiti huoo...
 
mbona parachichi na wali nayalaga mara nyingi na sijawahi huo msisimko?huo utafiti huoo...
Labda uongeze na karanga mbichi ikishindikana tia Pweza juu
zaidi ya hapo onana na Wamasai kwa ushauri zaidi.
 
angalia maparachichi ukila mengi unaweza kujisaidia kwenye shuka kwa kuwa yanalainisha sana tumbo.

Haahahahahahaaaa! haki ya mungu, shetani na wahuni Mungu na waungwana, mweee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…