Faida za tunda la ukwaju


hii K leo inanipa shida mpaka nafananishwa na KULI.....teh teh teh!
Ahsante mkuu..hivi kwani hakuna wanawake wenye matatizo ya kutofka kilele?
 
Mkuu inawezekana ni Kweli bt km umekariri Formula uctegemee kupata matokeo Tofauti...!!

kweli kilakibaka na chochoro zake...huyu ataniua bure jamani, bora niondoe majeshi
au unasemaje dolevaby..?
 
Last edited by a moderator:


Bora umeliambia hili dogo maana bishi kweli utafikiri Wamb...u.......r......a!
 
Last edited by a moderator:
Hapo sasa! Basi wewe na huyu mama ukwaju hamna "sexual compatibility" (frequency, energy na style). Endelea kutafuta mpaka upate mnaeendana kama x. Au kama vipi kunywa tu hizo juisi.

hapo umelonga kiongozi...maana jumuia ya ma-x wangu inawewezeka juu yngu na ndo maana sijielewi kwa huyu!
 
dk wangu MziziMkavu ...dawa zako naziaminia ila kuna zingine unanichanganya!
nisile kitu si nitafia kifuani kwake jaman?
Ulinifunda nikafundika, mechi naiweza...kubanduka chini ya dk 45 ni mwiko kwangu,lakin hapa imekuwa kazi bure...yaan ni kama kuweka dustbin wodi ya vichaa!
 
Last edited by a moderator:
Bora umeliambia hili dogo maana bishi kweli utafikiri Wamb...u.......r......a!

mkuu basi nimekuelewa! Nitaitafuta hyo miukwaju, alafu nione matokeo yake...nazani yatakuwa masaa mawili!
 
wewe kanywe juice a ukwaju kama ulivoshauliwa mkuu.

haina shida kiongozi..wacha nizame kariakoo nikasake miukwaju hiyo...ila mda wa kuliendesha gem utaongezeka maradufu..nazani yatafika masaa mawili, maana kwa sasa ni dk 45 mzee nakuwa imara kama salenda bridge
 
Ubaya ni kwamba umeomba kushauriwa lkn unabisha tena. Inashangaza unavyojipalilia. Sasa usitafute ujiko wa kumshambulia mtu ambaye hawezi kujitetea humu jf. La sivyo mlete hapa kwny jukwaa tumsikie na yeye. Unatukera bana!

Umenena anafikiri kukaa dk 45 ndio kuridhisha,wanawake wametofautiana.sasa anajisifia tu.
 
We mnywee juice ya tende hapo asipo sema yatosha inabidi umtafutie yeye dawa ya kuongeza nguvu za kike teh teh pole kwa kujitutumu ukaambulia zero
 
kweli kilakibaka na chochoro zake...huyu ataniua bure jamani, bora niondoe majeshi
au unasemaje dolevaby..?

Ha ha ha haaaa...! Unaona sasa kiherehere chote chakuvamia miGOMA kimekuisha hadi unaomba Poo...! wee komaa2 Askari hutakiwi kukimbia VITA sasa ili ackutangaze fanya uwezavyo hadi atosheke japo 1day then ndo labda ufikirie kukimbia manake hadi hapo utakuwa HOI....!
 
Last edited by a moderator:

nilijipa imani kuwa hakuna pori la kunishinda maana nilifundwa na wafundaji baada ya kufundika nikaona sasa ni wakati wa kuwapa raha watoto wazuri, nashukuru waliikubali huduma yangu....ila hili chaka nimekosa fyekeo!
 
Ubaya ni kwamba umeomba kushauriwa lkn unabisha tena. Inashangaza unavyojipalilia. Sasa usitafute ujiko wa kumshambulia mtu ambaye hawezi kujitetea humu jf. La sivyo mlete hapa kwny jukwaa tumsikie na yeye. Unatukera bana!

hata me namshangaa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…