Faida za tunda la ukwaju

Hapo kwenye kiungo cha Mboga ni balaa na unanikumbusha Enzi za Miaka hiyo huko kijijini kwetu. Hii kitu ikiungwa kwenye samaki aina zote ambazo ni bado wabichi siyo wa kula Usha Nakwambia mchuzi wa hapo unaweza ukanywa sufurua zima
Halafu ukishakunywa mchuzi huo majibu utayapata usiku ukiwa kwenye sita kwa sita na mamaa.
 
kule usukumani huwa tunaweka kwenye uji pia...hasa wakati wa kupapalia,unapikwa uji mwingi halafu unitiwa ukwaju mnaenda shambani basi anayejisikia njaa anaenda anajisevia
Huo uji naona si mchezo
 
Shukrani...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…