mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Halafu ukishakunywa mchuzi huo majibu utayapata usiku ukiwa kwenye sita kwa sita na mamaa.Hapo kwenye kiungo cha Mboga ni balaa na unanikumbusha Enzi za Miaka hiyo huko kijijini kwetu. Hii kitu ikiungwa kwenye samaki aina zote ambazo ni bado wabichi siyo wa kula Usha Nakwambia mchuzi wa hapo unaweza ukanywa sufurua zima
duu hao samaki wabichi hawakaangwi?Hapo kwenye kiungo cha Mboga ni balaa na unanikumbusha Enzi za Miaka hiyo huko kijijini kwetu. Hii kitu ikiungwa kwenye samaki aina zote ambazo ni bado wabichi siyo wa kula Usha Nakwambia mchuzi wa hapo unaweza ukanywa sufurua zima
Na wewe piaUbarikiwe[emoji4]
Unaona eeh?Mi huwa napenda mada zinazojenga kama hizi.....fine.............
Huo uji naona si mchezokule usukumani huwa tunaweka kwenye uji pia...hasa wakati wa kupapalia,unapikwa uji mwingi halafu unitiwa ukwaju mnaenda shambani basi anayejisikia njaa anaenda anajisevia
Karibu sanaAsante
Yaani huo ni mchemsho kwa kweli ni hatariduu hao samaki wabichi hawakaangwi?
doctar hiyo juice ya ukwaju inasaidia kupunguza tumbo??(kitambi)Nimekupa dawa yabure ukitaka dawa ya kuchelewa kufika kileleni ninayo ninauza kwa shillingi laki 1 na nusu nitafute kwa njia ya email baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
Nimeiandaa leo na nainywa sasahii ni juice ambayo matayarisho yake hayana complications hata uwe bachelor uaweza ukaiandaa hapo nyumbani kwako
FAIDA ZA JUISI YA UKWAJU.
]
Tunda la ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana faida kubwa sana katika afya ya mwili wa mwanadamu.
NAMNA YA KUTENGENEZA JUISI YA UKWAJU.
Nunua ukwaju wako, ukwaju unapatikana kwa wingi sana masokoni na kwenye supermarkets
FAIDA YA JUISI YA UKWAJU.
- andaa maji kwenye dishi na uoshe kidogo tuu
- baada ya kuuosha chukua ukwaju wako weka kwenye sufuria yenye maji ya saizi na injika jikoni
- uache uchemke kwa dakika 10/15 ili uuwe vijidudu
- ipua ukwaju wako jikoni na uache kwa muda upoe
- andaa maji yako masafi na chujio ili uweze kuchuja juice yako kwa uangalifu zaidi ili upate juice yenyewe
- weka sukari kwa kiasi unachopendelea
- pia ili kupunguza ukali unaweza ukaweka hiliki au vanila ili kupata taste
- weka juice yako kwenye fridge ili ipoe tayari kwa kunywa
NB: Ikiwa ukwaju na asali havikudhuru, basi changanya hivyo viwili ili kupata faida maradufu!
- Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
- Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
- Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
- Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
- Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
- Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
- Husaidia kurahisisha choo (laxative)
- Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
- Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
- Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)