Faida za tunda la ukwaju

mkuu itabidi uendelee na ukwaju uliowiva upatikanao huko supermakets - huu mbichi tuachie sisi
 
Simuelewi mpenzi baada ya sex, ananiambia nitumie juisi ya ukwaju ila sielewi sababu ya kuniambia hivyo hataki kunieleza, ila kasema sijamridhisha.

Kwa yeyote anayejua kazi ya hii jusi aniambie tafadhari mdau wenu niko confused!

========

 
Inaongeza nguvu na akikueleza juu ya juis ya tende usikatae inaonekana nguvu zako kidogo mkuu fanya mazoezi walau mara tatu kwa wiki
 
Inaongeza nguvu na akikueleza juu ya juis ya tende usikatae inaonekana nguvu zako kidogo mkuu fanya mazoezi walau mara tatu kwa wiki

mazoezi kwangu ni kila siku, natoka kifuani kwake mpaka zipite dk 45, kiufupi mi nimekamilika sekta zote, x wangu ananisakama mpaka leo... anasema hakuna kidume kama mimi
 
wakuu nipeni mbinu ya kuongeza nguvu za Kike, nahisi anajishtukia huyu!!
 
Hawezi kukwambi utumie juice huna nguvu wewe

mi nina kila mbinu za kumfikisha mtoto wa kike na ndio maana ma-x bado wanalisoteas penzi langu
ila huyu , nimegundua ana matatizo yake!
Kudumu dk 45 si mchezo ujue!
Natoka hapo hoi vibaya, lkn matokeo ni ziro!
 
nipeni dawa ya nguvu za kike,inatakiwa aanze dozi mara moja!
 
Ubaya ni kwamba umeomba kushauriwa lkn unabisha tena. Inashangaza unavyojipalilia. Sasa usitafute ujiko wa kumshambulia mtu ambaye hawezi kujitetea humu jf. La sivyo mlete hapa kwny jukwaa tumsikie na yeye. Unatukera bana!
 
nipeni dawa ya nguvu za kike,inatakiwa aanze dozi mara moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…