Faida za uboreshaji wa reli ya TAZARA

Faida za uboreshaji wa reli ya TAZARA

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Baada ya ziara ya Rais wa Zambia nchini Tanzania, Rais Haikinde Hichilema pamoja na Rais Samia Suluhu wamekubaliana kuboresha reli ya TAZARA yenye miaka 46 tangu kujengwa kwake.

Zifuatazo ni faida za maboresho ya reli hiyo:
  • Kupunguza gharama za kufanya biashara
  • Kuvuta wafanyabiashara wengi kuitumia reli hiyo
  • Kupunguza za usafirishaji wa bidhaa
  • Kupunguza mfumuko wa bei
  • Kuongezeka kwa mzunguko wa biashara kati ya Tanzania, Zambia na nchi nyingine.
 
Tatizo hii reli inaishia kapirimposhi badala ya kuingia Lusaka, hivyo kutokuwa na tija kwa abiria, hasa wafanyabiashara
 
Kwani kilichofanya matumizi ya hiyo reli kuachwa kutumiwa mmeshakiboresha? Maana naona mna plan vipya wakati challenges zilizofanya watumiaji kukimbia bado zipo!!
 
Back
Top Bottom