Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa


Unajaza beti wakti aya IKO wazi! Agizo la kuwauwa lipo au halipo?? Wee umesha ua wangapi? Au ndio unadhani kwa bla bla hii ndio utaiona pepo?? hhhhhhhhhh...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo sasa hivi hao maadui bado wapo? Kama bado wapo ni kina nani hao? Na je wewe pia unashiriki kuwatenga au kuwaua wakikengeukaa? (MI NAZUNGUMZIA HII AYA YA KURUHUSIWA KUUA WENZIO KWA KUTOFATA DINI YAKO 89)
 
Hiyo aya ni wakati wa vita.

Wewe kama upo vitani hautaua? Utazabwa la kushoto utageuza na la kulia?
Kwa hiyo sasa hivi hao maadui bado wapo? Kama bado wapo ni kina nani hao? Na je wewe pia unashiriki kuwatenga au kuwaua wakikengeukaa? (MI NAZUNGUMZIA HII AYA YA KURUHUSIWA KUUA WENZIO KWA KUTOFATA DINI YAKO 89)
 
Nikusaidie tafsiri:

Qur'an 33:

21. Hakika nyinyi mnayo ruwaza njema kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa anaye mtaraji Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na akamkumbuka Mwenyezi Mungu sana. 21
 
Muda wa kuanza kuperuzi kila page unatoka wapi usawa huu,, lakini nimeshajibiwa tayari,, sema kama swali la nyongeza, je akija sheikh au mtu mwenye cheo katika uislam akataka amuoe binti yako wa miaka 6 utamruhusu? (naomba nijiwe tafadhali)
Unaonesha huusomi uzi. Tumelijibu swali hilo juu kidogo hapo, post namba 2675.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona hujasoma post niliyokuwekea namba, 2675, lipo hilo jibu.

Aliye kujibu haelewi Uislam kwa kuwa si Muislam. Kama umeridhishwa na jibu lake ni hiyari yako, upo huru.
 
Naona hujasoma post niliyokuwekea namba, 2675, lipo hilo jibu.

Aliye kujibu haelewi Uislam kwa kuwa si Muislam. Kama umeridhishwa na jibu lake ni hiyari yako, upo huru.
Nakunukuu , umesema umefanya research ila iwe kweli au si kweli huoni tatizo, hapa tayari kuna wasiwasi katika majibu yako
1. Hujasema katika research yako umepata majibu gani
2. Kusema huoni tatizo ina maana hujui kama ni kweli au si kweli na hata kama ni kweli basi huoni tatizo,,,

Kuna mahala pia umesema kuna mtu alioa mtoto wa miaka 3,, kwa nukuu hizi naomba nijibu swali langu ulilo quote kwa hii reply

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa si pahala pa kubishana, unauliza swali unapewa jibu, kama hukuridhika nalo ni haki yako na kama umeridhika nalo ni haki yako pia.

Kasome vizuri kuhusu "miaka 3" usini misquote tafadhali.
 
Mimi sijabishana ila nilikua naku challenge, kitendo cha kusema iwe kweli au si kweli lakini huoni shida tayari kimeleta doa katika jibu lako, means huna uhakika na jibu sahihi,,
Basi nibadili swali, katika research yako ulipata majibu gani?
Hapa si pahala pa kubishana, unauliza swali unapewa jibu, kama hukuridhika nalo ni haki yako na kama umeridhika nalo ni haki yako pia.

Kasome vizuri kuhusu "miaka 3" usini misquote tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeandika kwenye hiyo post.


 
Nikusaidie tafsiri:

Qur'an 33:

21. Hakika nyinyi mnayo ruwaza njema kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa anaye mtaraji Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na akamkumbuka Mwenyezi Mungu sana. 21
wewe muhammad ibn abd allah SIO Kigezo chako?? Chunga bibie ukiona zee la kisla kiguu na njia nyumbani, Anamuita mtoto wako wa kike au kiume shemeji, shemeji...huku linalembua macho kwa uchu...mchekee nyani uvune mabua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aya ipi unaongelea? Mimi nime quote tu "context" na kuhimiza isomwe "context".

Unafahamu maana ya " context"?
Baada ya DHAMIRA kuwasuta kutokana na MAAGIZO MLIYO PEWA NA allah ya KUTUUA HAYATEKELEZEKI! UNAKUJA SASA KWENYE CONTENT NA EDITING! aya YEYOTE inayoshuka ina SABABU YA KUSHUKA, IMESHUKA WAPI NA MUHAMMAD KAIFUNDISHA VIPI! Ndio sababu ukiambiwa hii deen wenyewe warabu mnabisha na kuturushia mate....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam, sasa kikwenu ndiyo maana yake "wauweni makafiri" kama ulivyozua huko juu?

Hata Magufuli Tanzania anaamrisha watu kulipa kodi na kupambana na wakwepa kodi kwa njia yoyote ile. Cha ajabu nini hapo?
Cha ajabu ni kulipa kodi ili unusurike uendelee na UKAFIRI! Hivyo unanunua pepo kwa Pesa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujanijibu, ile ya 9:26 umekubali kuwa mgen alidanganya? Au una macho lakini hayaoni una masikio lakini hayasikii?

Kuhusu hoja yako, ulitaka wafanye urafiki na maadui waliokuwa na vita nao? Uliona wapi hiyo?
Nyingine hii hapa allah anamuomba MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE WAKRISTO NA WAYAHUDI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…