oyayakaranga
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 677
- 396
Baada ya kuandika haya rejea post [HASHTAG]#1195[/HASHTAG]Hivi hili ulielewa kwenye post namba moja? :
"Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa nayanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu. "
tehh....Vipi kijana, punguza kiherehere, hata wewe unaweza kujibu. Hii ni open forum.
nyani ngabu...Gozi na doro je, wanaendana?
ahsante kwa ufafanuzi mzuri faizafoxy nimeupenda je mfano nimeenda kununulia dubai kwenye usafirishaji kuja nayo Tanzania haiwezi kuwa na vikwazo vya hapa na pale kabla sijatake riskNjia nzuri na salama ni kwenda kununuwa moja kwa moja kwa masonara ambayo itakuwa ni ghali kiasi lakini ni akiba. Wanawake wengi sana hupendelea kununuwa kwa masonara vyombo vya dhahabu kwani huwa wanavitumia kwa kuvivaa na huwa ni akiba pia. Hivyo ndiyo walivyofanya wazee wetu.
Kwa siku hizi ukitaka kununuwa dhahabu ya kutosha basi unaruka kwenda Dubai, sheria za huko hautakuta sonara wa kudanganya-danganya na soko la dhahabu ni kubwa sana kuna ushindani wa hali ya juu.
Huko utakuta kuna vipande (vinoo) kabisa vya dhahabu vya kila saizi vinauzwa, na wengi hununuwa kujiwekea akiba.
Hapa kwetu Tanzania unaweza kuchukuwa kibali rasmi cha kununuwa dhahabu na ukaenda sehemu zinazozalisha dhahabu kama Chunya ukajinunulia wanavyoita "vikole", ukija mjini ukimpata sonara unaemuamini anakuyeyushia na kukuwekea vinoo. Hii ndiyo njia ya kununua kwa urahisi kama hutaki kuitumia mwenyewe kwa kujipamba.
ahsante kwa ufafanuzi mzuri faizafoxy nimeupenda je mfano nimeenda kununulia dubai kwenye usafirishaji kuja nayo Tanzania haiwezi kuwa na vikwazo vya hapa na pale kabla sijatake risk
Salaam.nyani ngabu...
hizi bombastics ni za kilatini nini??
naona bibi yetu zinampiga chenga hatari, kaenda kufungua kibubu chake cha misamiati lakini wapi!!!!
mkuu ngabu heshima kwako.......
[QUOTE="FaizaFoxy, post: 18558184, member: 43551".
Unanionaje "behaviour" yangu? Wakati hapa unayoyaona ni maandiko tu.
Jiridhishe na maana ya 'behaviour' from Psychological point of view
Ninalo, nilikuuliza hukunijibu, 'je kuna uhusiano wowote wa avatar yako na wewe mwenyewe?
haujanijibu swali mbona.CCM ukiipenda usiipende ndiyo chama tawala. Kumbuka hilo.
unataka nikupe maana ya "Gozi" ili upate cha kumjibu Ngabu???Salaam.
Ulipoamka wewe mimi nilipapita kabla hujazaliwa. Kumbuka hilo.
Wewe hata "Gozi" linaloongelewa hapo huelewi ni nini halafu unakuja kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Gozi linalotajwa hapo ni nini? Nnaku-challenge hujuwi.
unataka nikupe maana ya "Gozi" ili upate cha kumjibu Ngabu???
hapana, nimeigundua janja yako.
leo Ngabu kakubamba, kumbuka hilo.
sawa bibi,Hata Ngabu akikusoma anachekea chooni maana hiyo maana ya Gozi kajifunza kwangu.
Humuhumu kwenye hii nyuzi pia kulikuwa na hint lakini sitegemei punguani yeyote kuielewa.
siwezi kutoelewa ambacho hujajibu...... na kama sikuelewa ulichojibu ningesema hivyo.Kama ukijibiwa huelewi si kosa langu. Subiri wachangiaji wengine watakujibu.
siwezi kutoelewa ambacho hujajibu...... na kama sikuelewa ulichojibu ningesema hivyo.
nimeuliza swali ukaanza "kuhororoja na kubwabwaja bila mpango"!!!!
nimekuuliza...
"kwanini baadhi ya watu wanaichukia CCM".
Karibu..
Nifanye nn ili niweze kupigwa ban jf?General Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Update 1:
Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.
Update 2:
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.
Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.
Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.
Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja aliyeuliza swali lolote kuhusu hilo.
Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.
Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu ya ubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.
Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.
Karibuni.