Faili la Makabidhiano ya Urais wa JMT na yaliyomo ndani kwa mtazamo wangu Mimi

Kwanza hili ni jambo geni kabisa kutokea kama upinzani utashinda ...lakini cha kwanza kabisa...Rais mteule atakuwa rasmi chini ya ulinzi wa usalama wa taifa jeshi na organs nyingine za kiusalama
Halafu handover itafanyika kwa hatua kuanzia katiba na makabrasha yote muhimu ikulu mpaka wizara na vitengo vyake vyote
Makabidhiano muhimu yatakapokamilika ndio tendo la kuapishwa rasmi litafanyika...kwa kipindi chote kabla ya makabidhiano usalama wa taifa ndio watakuwa na majukumu makubwa ya kiusalama na nyendo zote za rais mteule

Kwasasa haitabiriki ninini kitatokea kwakuwa mpaka sasa chama dola hakijatoa tamko lolote kama kikishindwa kitakabidhi nchi kwa ridhaa na kwa amani
 
hukabidhiwa idadi ya wafungwa...

hukabidhiwa faili lenye idadi ya marafiki na maadui wa nchi.

hupewa mafaili mawili ya viapo kimoja Cha shetani kingine Cha Mungu kwamba achague ataongoza kwa msaada wa Nani maana hao wawili Ni superpower.
Duh..
 
Asante kwa kuboresha mawazo yangu
 
Raisi mpya atapewa lile begi jeusi ambalo raisi akiwa nje ya ikulu wale vijana wake wanakuwa nalo..
 
Unamwanga katika hayo hata Kama no makisio
 
hukabidhiwa idadi ya wafungwa...

hukabidhiwa faili lenye idadi ya marafiki na maadui wa nchi.

hupewa mafaili mawili ya viapo kimoja Cha shetani kingine Cha Mungu kwamba achague ataongoza kwa msaada wa Nani maana hao wawili Ni superpower.
Hahahahah hizo superpower mbili hapo mwisho daaah
 
Hivi ni kweli ktk uongozi wa juu wa nchi lazima nguvu za giza ziwepo?
sio nguvu za Giza tu Bali hata nguvu za Mungu zipo.nimesema hapo juu Ni wewe tu kuchagua utaongoza kwa msaada wa Nani Kisha unasain.

Ila nimeandika maoni kulingana na uzi husika.

don't take it serious

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…