Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
FAINALI CAF;DOSARI YAANZA KUJITOKEZA MECHI YA YANGA.
Fainali CAF; dosari yaanza kujitokeza mechi ya Yanga.
Washabiki wa yanga wanalowa na mvua toka saa mbili asubuhi wapo nje ya uwanja,kwa nini wasiruhusiwe kuingia uwanjani,mageti yote yafunguliwe kuepusha vifo na kukanyagana?
Fainali CAF; dosari yaanza kujitokeza mechi ya Yanga.
Washabiki wa yanga wanalowa na mvua toka saa mbili asubuhi wapo nje ya uwanja,kwa nini wasiruhusiwe kuingia uwanjani,mageti yote yafunguliwe kuepusha vifo na kukanyagana?