SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,068
- 1,150
Timu ya taifa ya vijana walio na umri chini ya miaka 20 itacheza mchezo wa fainali dhidi ya vijana wenzao kutoka Kenya katika mashindano ya Cecafa U20 yanayofanyika nchini Uganda. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo kuanzia majira ya saa 9:30 alasiri ikitanguliwa na mchezo wa kusaka mshindi wa tatu.
Itakuwa ni patashika kati ya wababe wawili Tanzania Bara dhidi ya Kenya ambao kwenye hatua ya makundi walitoshana nguvu kwa kutoka sare ya 2-2.
FUFA online TV na Azam XTRA wanategemea kuonyesha mchezo huo live.
Itakuwa ni patashika kati ya wababe wawili Tanzania Bara dhidi ya Kenya ambao kwenye hatua ya makundi walitoshana nguvu kwa kutoka sare ya 2-2.
FUFA online TV na Azam XTRA wanategemea kuonyesha mchezo huo live.