Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwa mujibu wa Football Funnys wanasema Fainali ya Uefa Champions League (UCL) kati ya Spurs Vs Liverpool ndio fainali mbovu kuwahi kutokea katika historia ya ligi ya mabingwa.
Spurs alilala 2-0 dhidi ya Liverpool kirahisi mno tofauti na matarajii ya wengi waliodhani itakuwa mechi ngumu!
Kwa upande wako mdau, fainali ipi katika UCL ilikuwa mbovu? Au unawaunga mkono Football Funnys?
Karibu kwa mjadala...
Spurs alilala 2-0 dhidi ya Liverpool kirahisi mno tofauti na matarajii ya wengi waliodhani itakuwa mechi ngumu!
Kwa upande wako mdau, fainali ipi katika UCL ilikuwa mbovu? Au unawaunga mkono Football Funnys?
Karibu kwa mjadala...