Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hats off🙌🏻Wewe Dogo Bonge la Fainali udambwi udambwi mwingi sana kipindi hicho Mendieta Vs Redondo, Pablo Aimar, Ivan Campo hatari sana miaka ile mpira haukuwa wa kukamiana kama leo
Lakini Mada haisemi magoli matamuWewe Realmadrid Vs Juve ilikuwa fainali yenye magoli matamu sana labda kama hujuangalia mpira
Dakika ya 5 tu watu wanapata tuta😂😂Spurz na liverpool ilikuwa hovyo, spurz walilegea mapema sana.
Mpaka HT 1-1 lakini, Goli la Rooney lilirudisha Man U mchezoni. Japo tulizidwa sana ila matokeo hayakuonekana mapema, tofauti na 2009.2011 UCLFinal
Barcelona Vs Man Utd
Hii haikuwa mbaya ila ilikuwa Fainali ya upande mmoja zaidi
Moja ya fainali nzuri ya kukumbukwa, ngoma mpaka mikwaju ya penati ndo ikaamua bingwa!! Hii ilikuwa fainali ya kwanza kati ya fainal tatu mfululizo Juve alizoingia na kuishia kupoteza!! I feel sorry for Gigi BuffonAc Milan vs Juventus
Hii Ilikua bonge moja la game labda kama umeropoka tuMan city vs Chelsea
ndMpaka HT 1-1 lakini, Goli la Rooney lilirudisha Man U mchezoni. Japo tulizidwa sana ila matokeo hayakuonekana mapema, tofauti na 2009.
Watu wanaleta utani lakini pia ukute wana machungu ya bettingHii Ilikua bonge moja la game labda kama umeropoka tu
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Na iliwaliza wengi sana iyo kwenye betting coz aslimia kubwa walijua mzee kipara na vijana wake watabeba ndoo ila ikawa Tofaut aisee hii ilikua game matata sana ni kama kwenye EPL game ya Man city Vs Liverpoll hii ya juzi waliotoka sare 2-2 hii game sijaona game ya moto kama hii msimu huu au macho yangu?Watu wanaleta utani lakini pia ukute wana machungu ya betting
2009 ama 2011? 2011 fergie alikiri alitakiwa adefence, Messi na Barca walikuwa vizuri sana kwa Timu zinazofunguka na weak kwa timu zinazopaki basi, chelsea walicheza mechi 8 na Barcelona Bila kufungwa. Ila 2009 ilikuwa ni suprise, Man u quality wise walikuwa bora kuliko Barca.2nd half, Barca alifanya kitu ambacho Sir Alex alikuja kukiri miaka michache baadae kuwa alirudia mara mbili mbili kutazama mkanda wa marudio hakuona mahali walipokosea bali walikutana na timu bora pengine bora ya wakati wote
nd
2011 UCLFinal
Barcelona Vs Man Utd
Hii haikuwa mbaya ila ilikuwa Fainali ya upande mmoja zaidi
Ronaldo hiyo mechi ya babu Fergie kutetemeka alikuwa tayari yupo Madrid. Ronaldo alikuwepo fainali ya 2009 wakati MUFC wakibagazwa goli 2 bila, goli la kwanza likitupiwa kambani na Etoo, na goli la pili Messi akitupia kichwa safi mbele ya Rio Ferdinand.Barca walikuwa kwenye peak ya juu Kabisa Tangu ianzishwe nadhani
Ferguson Mikono inatetemeka hajui aamue Lipi!?
Rooney na Ronaldo wote walichezea safa bwege moja Maratha sana
Pasi zilipigwa hadi unawaonea Huruma Man U[emoji1787][emoji1787]
By then juve ndio alikuwa mbabe wa scudeto while Milan ya acelotti ilikuwa bora ulayaMoja ya fainali nzuri ya kukumbukwa, ngoma mpaka mikwaju ya penati ndo ikaamua bingwa!! Hii ilikuwa fainali ya kwanza kati ya fainal tatu mfululizo Juve alizoingia na kuishia kupoteza!! I feel sorry for Gigi Buffon
Mwaka gani hii?Man city vs Chelsea
Hii ya 1-0,Hii Ilikua bonge moja la game labda kama umeropoka tu
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app