Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Mheshimiwa Moskwito salamu.
Unasalimiwa na mjukuu wangu mtiifu....
Haya nambie huu uzee unaouzungumzia hapa ni miaka mingapi hasa? Manake mi nna 65 na bado damu inachangamka!.... Nikiona mambo yanaanza kuharibika nachojoa bila kondom ili nife kabla sijaadhirika LOL
Umenikumbsha ngoja na mie nianze kuweka akiba yake ya mbeleni.... inafunguliwa a/c yake hakuna kuwekuwa mpaka fainali
Kwa wahindi hustaafu ila wanakustaafisha kwa manufaa ya kampuni
Halafu kiserengeti boy mwenyewe unakuta ni FidelWewe utakuwa unakula na kiserengeti boy chako taratiiibu
...uzeeni, a.k.a..retiring age waweza adhirika kwa namna mbili;1. Kwa wale waajiriwa, siku unapopewa notisi urejeshe nyumba ya kampuni/serikali ilhali huna kibanda wala pa kuhamia sababu hukujiandaa, au...2. siku ya ugonjwa/msiba. Watu watapokuja shangaa miaka yote hukuwa japo na kajumba ka kujistiri ilhali kwenye ujana ulikuwa mwingi wa "matanuzi"...
Unaambiwa kampuni imefilisikaNa pensheni je??
Na pensheni je??
Halafu kiserengeti boy mwenyewe unakuta ni Fidel
Wewe utakuwa unakula na kiserengeti boy chako taratiiibu
Halafu kiserengeti boy mwenyewe unakuta ni Fidel
raha wajipa mwenyewe
cUnamaanisha huzeeki?
Hahahaha!!!!Mzee itakuwa full kujituma maana unaitumia vyema pensheni ya maza
Lol!!! Kumbe anaenda kujituma na pensheni yako B-BAR, CORNER BAR na kule TIP TOP Manzesehalafu Fidel mwenyewe anakwenda kugawa kwa mabaamedi
halafu Fidel mwenyewe anakwenda kugawa kwa mabaamedi
Marahaba bibi......... Eti kuna sababu yoyote kuishi mpk uwasumbue watu wakupeleke msala?shikamoo babu
Duh sasa nyie mnaosema si rahisi kufikia 'uzee'? Mnataka kusema tukate tamaa?
Marahaba bibi......... Eti kuna sababu yoyote kuishi mpk uwasumbue watu wakupeleke msala?
Marahaba bibi......... Eti kuna sababu yoyote kuishi mpk uwasumbue watu wakupeleke msala?