Fainali waliyocheza Simba SC 1993 siyo shirikisho

Fainali waliyocheza Simba SC 1993 siyo shirikisho

Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.

Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
1. Kulikuwa na Champions Cup (Sawa na klabu bingwa leo hii) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Malindi kama Bingwa wa Ligi ya Muungano Fainali ilicheza ASANTE KOTOKO na ZAMALEK, ZAMALEK wakachukua kwa penalt

chanzo

2. Kulikuwa na Kombe la washindi barani afrika (Sawa na shirikisho hivi sasa) Tanzania iliwakilishwa na Pamba ya mwanza kama bingwa wa FA cup kipindi hicho liitwa Nyerere cup fainali walicheza African Sports na Al Ahly ambapo Al Ahly ya Misri walichukuwa kombe kwa goli 2-1

chanzo


3. Halafu sasa ndo kukawa na kijikombe kilichoitwa CAF CUP kilichotolewa na mwanasiasa Mashoud Abiola hiki sasa ndo Simba walicheza Fainali na Stella

chanzo


Kukuonesha tu kwamba kombe hili halina hadhi ya shirikisho baada ya CAF mashindano kwisha Bingwa wa Champions Cup yaani Zamalek alicheza na Bingwa wa Kombe la washindi barani afrika kombe maalum lililoitwa Super Cup mwaka 1994 (Zamalek Vs Al Ahly)
Unajidanganya sana. Endelea kurukaruka lkn ukweli utabaki km ulivyo. Huwezi kufuta legacy ya Simba.

Mjinga anapoandika huwa anadhani anaowaandikia ni wajinga km yeye.
 
Muulizeni Azim Dewji ndiye alikuwa mfadhili wa Simba wakati huo akawa amewaahidi wachezaji magari aina ya KIA kama wangebeba kombe lilotolewa na Mashood Abiola.

Sina uhakika kwa wachezaji wa Simba kupewa medali.
 
UTOPOLO FC akiwa na mwiko nyuma anakuwa hana akili .
 
Tungaraza alirithi jina kutokana na kuwa yeye nae ndie aliefunga goli la pili kwenye ushindi wa 2-0 kwenye mechi ya Yanga vs Simba kama ilivyokuwa kwa Bolizozo kwa timu yake ya ASEC MIMMOSA ya Ivory Coast.
Mkuu sio Asec Mimosas bali ni Stella Club Adjame
 
Mleta uzi
FB_IMG_1683024959845.jpg
 
Muulizeni Azim Dewji ndiye alikuwa mfadhili wa Simba wakati huo akawa amewaahidi wachezaji magari aina ya KIA kama wangebeba kombe lilotolewa na Mashood Abiola.

Sina uhakika kwa wachezaji wa Simba kupewa medali.

Tuliishia kupewa Toyota Carina zilizoxhoka tena baada ta kukaa sana bandarini akiomba asamehewe kodi
 
Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.

Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
1. Kulikuwa na Champions Cup (Sawa na klabu bingwa leo hii) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Malindi kama Bingwa wa Ligi ya Muungano Fainali ilicheza ASANTE KOTOKO na ZAMALEK, ZAMALEK wakachukua kwa penalt

chanzo

2. Kulikuwa na Kombe la washindi barani afrika (Sawa na shirikisho hivi sasa) Tanzania iliwakilishwa na Pamba ya mwanza kama bingwa wa FA cup kipindi hicho liitwa Nyerere cup fainali walicheza African Sports na Al Ahly ambapo Al Ahly ya Misri walichukuwa kombe kwa goli 2-1

chanzo



3. Halafu sasa ndo kukawa na kijikombe kilichoitwa CAF CUP kilichotolewa na mwanasiasa Mashoud Abiola hiki sasa ndo Simba walicheza Fainali na Stella

chanzo


Kukuonesha tu kwamba kombe hili halina hadhi ya shirikisho baada ya mashindano kwisha Bingwa wa Champions Cup yaani Zamalek alicheza na Bingwa wa Kombe la washindi barani afrika kombe maalum lililoitwa Super Cup mwaka 1994 (Zamalek Vs Al Ahly)

chanzo
Scars OKW BOBAN SUNZU njoeni huku
 
kumbe ufafanuzi ulikuwepo na bado makolo hawaelewi..??
 
Back
Top Bottom