Fainali ya ASFC Kigoma mgeni rasmi angekuwa Rais wa nchi

Fainali ya ASFC Kigoma mgeni rasmi angekuwa Rais wa nchi

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Najaribu kuamini kuwa Rais SSH ni mpenda soka ila upande wa Simba au Yanga ni siri yake. Ile mechi ya ligi ya tarehe 3/07 hakupaswa kwenda uwanjani na kuwa mgeni rasmi kwani ilikuwa mechi tu ya kawaida ya ligi.

Mechi aliyopaswa kuwa mgeni rasmi ni hii ya kesho tarehe 25/07 kwani ina umuhimu wake.
 
Najaribu kuamini kuwa Rais SSH ni mpenda soka ila upande wa Simba au Yanga ni siri yake. Ile mechi ya ligi ya tarehe 3/07 hakupaswa kwenda uwanja na kuwa mgeni rasmi kwani ilikuwa mechi tu ya kawaida ya ligi.

Mechi aliyopaswa kuwa mgeni rasmi ni hii ya kesho tarehe 25/07 kwani ina umuhimu wake.
Vyura kesho wanapoteana lake Tanganyika
 
Usiwe na shaka atakuwepo kwenye mchezo huo na tumejiridhisha kwamba Mazingira yapo sawa kabisa
 
Mnyama na Mwananchi wapi na wapi!! Ni kuchinja tu!! Ahudhurie Rais/rais, asihudhurie!! Kipigo kiko pale pale!!
 
Najaribu kuamini kuwa Rais SSH ni mpenda soka ila upande wa Simba au Yanga ni siri yake. Ile mechi ya ligi ya tarehe 3/07 hakupaswa kwenda uwanja na kuwa mgeni rasmi kwani ilikuwa mechi tu ya kawaida ya ligi.

Mechi aliyopaswa kuwa mgeni rasmi ni hii ya kesho tarehe 25/07 kwani ina umuhimu wake.
Mechi za Simba na yanga akipelekwa raisi tu jua Simba tunapigwa 😅😅😅
 
Back
Top Bottom