Fainali ya ASFC | Yanga SC 3 (4) - 3 (1) Coastal Union | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Yanga BINGWA

Ana mwili mzuri! Ila ana mapungufu mengi. Siku zote anafichiwa madhaifu yake na akina Bangala. Wakipotea hao, na yeye anapotea.

Anyway, Coastal wanastahili kuwa mabingwa. Wamecheza mchezo mzuri. Sema ndiyo hivyo tena, hiki kikosi kikiparanganyika, Kimataifa watakuwa ni wasindikizaji tu.
 
Inshallah yanga itashinda Leo kwa mikwaju ya penalty
Hapana mpira huu haufiki penati. Ni dakika 120 anatoka mtu. Labda ishinde ndani ya huo muda. Mabingwa hawasubiri penati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…