Fainali ya ASFC | Yanga SC 3 (4) - 3 (1) Coastal Union | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Yanga BINGWA

Fainali ya ASFC | Yanga SC 3 (4) - 3 (1) Coastal Union | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Yanga BINGWA

Yani we nimekuona kuwa ni shabiki wa Yanga kwenye zile mechi za mwisho mwisho Yanga alizotangaza ubingwa

Na hapa tangu uzi unaanza nimekuona baada ya Yanga kuchomoa bao 3. Hii inamaanisha nini?
Daah aisee..! Hili swali kwa mlengwa limenifanya nicheke sana yaani..!
 
Makolo wakati huu
 

Attachments

  • FWq3ezYXkAA70v5.jpeg
    FWq3ezYXkAA70v5.jpeg
    33.3 KB · Views: 4
So far wamejitahidi sana coastal, sikuweza kudhania kama wangefika umbali huu.

Nikilinganisha ile mechi ambayo walipasuka kamba 3 hapa lupaso niliona hii mechi ina3nda kuwa simple sana kwa Yanga.

Ngoja tuone penati zitaamua nini ila mpaka hapa jitihada wamezionesha big up kwao.
Ni kweli coastal wamejitahidi sana, sio kama wale wa pale Kirumba ndani ya dakika 90 tu walishakubali yaishe.
 
Back
Top Bottom