Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Asiwe Mwarabu wa Vingunguti kama AsasLatra na trafic apewe mwekezaji tena mwarabu
Kabisa mkuu wanazi na mikeka yao wanawapagawisha sana madavooKumwagiwa maji (water salute)
Kwanini tunafichwa? Si Latra wana Manifest? Itumike kutambua majeruhi na marehemuGhafla nimeona taarifa now.kumbe katika Hilo sauli la Leo ndo analofanyia kazi rafiki yangu wa tangu shule..imagine mtu anapiga kazi na afya njema Kisha kesho inatangazwa kafa..ajali hizi
Hiyo ajali watu kibao wamekufa ila wanaficha
Imeumaliza mwendoDah... DTF..
Ally'sHao polisi uliowataja nao ni "wanazi" wa hayo mabasi,ndiyo maana huoni action yeyote ikichukuliwa.
Alafu Kuna wanazi wa katarama na nasi Gani Lile sijui. Kuna watu wanapenda hizi ligi sijui kwa nini.
Akili zao sio kutatua changamoto, akili zao ni kushinda kwa kishindo uchaguzi ujao.Acha blaaa blaaaa Serikali ipige njia Nne Kibaha hadi Tunduma hizo ajali kichaa zitaisha zenyewe.
Kwani regulators wanafanya kazi gani kuokoa maisha ya abiria wasio na hatia?Ninyi watu wa mikoani hususani Wanyakyusa, Wasafwa,Wandali,Wambungu Wakinga mlishaambiwa hayo magari yatakuja kuwaua
Tena sana japo binafsi naona wanaopanda hizo gari pamoja na kuzishabikia kwa unazi wanakuwaga na shida ya akili kichwani.Inasikitisha
Kwenye Watanzania wanne, mmoja ni ZYAPUNGATena sana japo binafsi naona wanaopanda hizo gari pamoja na kuzishabikia kwa unazi wanakuwaga na shida ya akili kichwani.
Sijui wanawai wap haya jamaaChuma za masaa zimeumaliza mwendo...
iondoe na bumpsSerikali iboreshe barabara,ajali zitapungua sana
Duuu Pesa Adui wa Haki ,Kùjifunza ni kitu kisicho na mwisho wala mipaka. Serikali yetu na watendaji wake hawajàona haja ya muda mrefu kujifunza na kuchukua tahadhari dhidi ya fainali ya Ligi Kùu ya mbio za mabasi Tanzania kati ya New Force/ Golden Deer vs Sauli.
Maafa tumeanza kuyaona, leo mabasi yamegongana na Lori la mafuta, watu wamekufa, wengine kujeruhiwa. Lakini kesho makosa haya haya yatajirudia na watendaji wa serikali wenye wajibu wa kuwadhibiti wasafirishaji hawa wataendelea kushabikia fainali hiyo.
Polisi wa usalama barabarani na LATRA wanahusika kwa kiasi kikubwa kutokana na udhalimu huu unaoathiri maisha ya abiria wasio na hatia
Kama leo nliona ,ada ya mdau iliibuliwa ya hzi gari ni ya 2022 ama 2023 sijakosea askari wa usalama na latra wanahusika wa kuhongwa na kuacha haya madudu yakolee.Inasikitisha