Fainali ya Simba Vs Namungo Fc

Fainali ya Simba Vs Namungo Fc

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Leo ndio leo, Fainali ya Azam Sports Federation kati ya Simba Vs Namungo, mechi itakayopigwa uwanja wa Nelson Mandela pale Sumbawanga, Rukwa.

Kama kawaida yetu, tupia utabiri wako nani anashinda kwa magoli mangapi? Ikiwezekana taja na wachezaji watakaoingia nyavuni!

Mimi naanza, Simba 3-1 Namungo
Wafungaji, Mkude na Bocco

Karibu uendelee na wewe...
 
Leo ndio leo, Fainali ya Azam Sports Federation kati ya Simba Vs Namungo, mechi itakayopigwa uwanja wa Nelson Mandela pale Sumbawanga, Rukwa.

Kama kawaida yetu, tupia utabiri wako nani anashinda kwa magoli mangapi? Ikiwezekana taja na wachezaji watakaoingia nyavuni!

Mimi naanza, Simba 3-1 Namungo
Wafungaji, Mkude na Bocco

Karibu uendelee na wewe...
Namungo anashida
 
Leo ndio leo, Fainali ya Azam Sports Federation kati ya Simba Vs Namungo, mechi itakayopigwa uwanja wa Nelson Mandela pale Sumbawanga, Rukwa.

Kama kawaida yetu, tupia utabiri wako nani anashinda kwa magoli mangapi? Ikiwezekana taja na wachezaji watakaoingia nyavuni!

Mimi naanza, Simba 3-1 Namungo
Wafungaji, Mkude na Bocco

Karibu uendelee na wewe...


Simba 2 na Namungo yai 0
 
Back
Top Bottom