Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi DTB ya Madelu?Hiyo nafasi ya Biashara tungewapa hata DTB ya Madelu
safi kabisa hayo ndiyo malipo ya uzembe.Wamepigwa faini ya $20,000 na kutoshiriki kwa miaka miwili. Tumezidi kupoteza ndoto za Vijana na ajira zao
Ulikuwa hujui mkuuHivi DTB ya Madelu?
Wamewapiga faini ndogo sana !!!?Wamepigwa faini ya $20,000 na kutoshiriki kwa miaka miwili. Tumezidi kupoteza ndoto za Vijana na ajira zao
Watashuka daraja na faini hawalipi.....Biashara watashuka daraja msimu huu.morali ya wachezaji Itakua chini
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "Goli walilofunga ni kona'Kumbe Marefarii wetu wanapokataa baadhi ya magoli ya timu ndogo zinapocheza na SIMBA au Yanga ni halali tu. (Kama yule refa mwaka jana aliyesema goli walilofungwa Yanga ni Kona)
Hizi Timu ndogo zikipata ubingwa zinashindwa hata kusafiri kwenda nje ya nchi ni aibu kwa Taifa.
Parefu sanaNi sawa na shilingi ngapi zakitanzania
Walidanganywa na Mahera wa TFF kuwa wataiba Points hata wasipoingia Uwanjani. TFF ni kama NEC tuDuuh, kutoingia jamvini jana kumbe nimepitwa na mambo lukuki..
Wamekutwa na kosa gani?
Nafasi hii ya kimataifa ilikuwa fursa kwa Biashara ila hakukuwa na mtu wa kuwaongoza.Walidanganywa na Mahera wa TFF kuwa wataiba Points hata wasipoingia Uwanjani. TFF ni kama NEC tu
Sema hakuna mwenye akili hata mmojaNafasi hii ya kimataifa ilikuwa fursa kwa Biashara ila hakukuwa na mtu wa kuwaongoza.
Timu tayari ilikuwa imejulikana kimataifa, jambo ambalo lilikuwa ni fursa.
Hii ndio bongo bana, ukitaka kuinuka unapigwa ngwala
Unapigwa au unajipiga ngwala?Hii ndio bongo bana, ukitaka kuinuka unapigwa ngwala
Moja kati ya hayo au yote yanaweza kuwa sahihiUnapigwa au unajipiga ngwala?