MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Ndio maana ccm haitaki kutoka madarakani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio hapo sasa mkuuWanaotoa sheria hizo ukute hata ambulance hawana
Hatari mkuuMaajabu hayaishi nchi hii..
Dah, nchi ngumu hii.Hiyo Tisa kumi ukifika kata ya Matamba Makete . Yaani kule kuna visheria vingi vya ajabu sana. Zahanani ina vikorokoro kama nini, ukimpeleka mke kujifungua
n.k, n.k
- Lazima uweke laki moja mezani ya dharura
- Ukijifungua nyumbani fine
- Usiookwenda na nguo nyingi mkeo akijifungua hawakupi mpaka upeleke pesa.
Duh!Hiyo Tisa kumi ukifika kata ya Matamba Makete . Yaani kule kuna visheria vingi vya ajabu sana. Zahanani ina vikorokoro kama nini, ukimpeleka mke kujifungua
n.k, n.k
- Lazima uweke laki moja mezani ya dharura
- Ukijifungua nyumbani fine
- Usiookwenda na nguo nyingi mkeo akijifungua hawakupi mpaka upeleke pesa.
Kkkkkk CCM inatumia ujinga wa watanzania kama mtaji.Ndio maana ccm haitaki kutoka madarakani
Iefudii vp? Naona hiyo risit katengeneza nesi stationary.Dah, nchi ngumu hii.