Faini ya kujifungulia nyumbani, hii imekaaje?

Tujitahidi kufika vituo vya afya kwa usalama zaidi.
Hii ya kudiscourage hizo faini haitasaidia, bado kujifungulia kituo cha afya ni muhimu kuliko nyumbani, likitokea la kutokea ukiwa nyumbani si rahisi kusaidika kwa haraka kuliko ukiwa kituo cha afya.

Hizo faini zipo ili kuzuia watu kujifungulia nyumbani, tunajijua wabongo uhuru ukizidi huwa ni majanga.
 
Kituo cha afya bila chanjo ya Corona siku hizi huduma ya mjamzito inasuasua.
 
Poleni sana... wahini kwenye vituo vya afya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…