rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Tumesikia bodi ya ligi imetoa adhabu ila utopolo wameachwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizana na shemeji kwanza.Naomba TFF ibadili faini au waongeze adhabu ,hii faini ya 500,000 hadi 1,000,000 ni ndogo mno haiwaumizi Yanga ,Tangu ngao ya jamii na mechi zote za ligi Yanga hawajawahi kutumia milango rasmi na wala hawaogopi faini inaonekana ni ndogo.
TFF waweke faini hata mil 50 hadi mil 100 labda hii tabia ya kizamani wataacha