Huyu bwana inaonekana hakuelewa hili, pia na bajajLakini ni kwa pikipiki tu, gari iko palepale......!
Boda boda ni kama walishasuswa, yani askari ht hawahangaiki nao kbs siku hzBoda boda lini wanaandikiwa faini? Mimi naona wana utawala wao binafsi askari hawahangaiki nao kabisa
Kuna askari mmoja pale Kibada alijitia kumsimamisha bodaboda, aliambulia mate ya uso. Ahahahaha hii nchi kwakweli ngumu sana, ilimbidi askari aende kichakani kunawa!Boda boda lini wanaandikiwa faini? Mimi naona wana utawala wao binafsi askari hawahangaiki nao kabis
Adui wa bodaboda bi wazee wa tigo rusha aka voda fastaBodaboda hadi akamatwe apigwe faini, amesimama tu anasubiria?! Wale jamaa wanakuaga kama panzi...
umenivunja mbavu mkuuKuna askari mmoja pale Kibada alijitia kumsimamisha bodaboda, aliambulia mate ya uso. Ahahahaha hii nchi kwakweli ngumu sana, ilimbidi askari aende kichakani kunawa!
Bodaboda alifyatua speed hata ndege za SU 57 za Urus au F35 raptor isinge mpata ahahah
Soma hapa>>> Kwanini tozo kwa makosa ya usalama barabarani zisishabihiane na uzito wa kosa husika?Kati ya mambo ya maana katika budget hii ni kupunguzwa kwa faini za barabarani.
Hata bajaj piaLakini ni kwa pikipiki tu, gari iko palepale......!
Labda Traffic officer atakuwa anatembea na chain. Akimkamata bodaboda anafunga bike kwenye mango tree, halafu anaanza kuandika kwenye efd machine. Tofauti na hapo kweli, ataambulia vumbiiiiiBodaboda hadi akamatwe apigwe faini, amesimama tu anasubiria?! Wale jamaa wanakuaga kama panzi...
Hivi ni kwa boda boda tu...khaa mbona rahaaView attachment 1814605
Kati ya mambo ya maana katika budget hii ni kupunguzwa kwa faini za barabarani.
Hii 10,000 ndio tulikuwa tunawahonga askari wa barabarani,sasa naada 2,000 wakigoma kupokea nawaambia tena kwa kiburi kikubwa kinachoambata na madoido nipatieni hicho kirisiti nitalipa mbele ya safari.
Haaaaa haaaaa mwendazake anaondoka na mambo mengi si mchezo.
Hiyo ni kwa Bodaboda na Bhajaji siyo magari mkuu.View attachment 1814605
Kati ya mambo ya maana katika budget hii ni kupunguzwa kwa faini za barabarani.
Hii 10,000 ndio tulikuwa tunawahonga askari wa barabarani,sasa naada 2,000 wakigoma kupokea nawaambia tena kwa kiburi kikubwa kinachoambata na madoido nipatieni hicho kirisiti nitalipa mbele ya safari.
Haaaaa haaaaa mwendazake anaondoka na mambo mengi si mchezo.
Wanatozwa sana fineBoda boda lini wanaandikiwa faini? Mimi naona wana utawala wao binafsi askari hawahangaiki nao kabisa