Fair Play ya Kitandani...

hivi doc uliwa unafikiria nini kuanza hii thread... kazi ipo...
 
Mh wngine size ya viuno nitofauti kabisa kwa hiyo nadhani kusingekuwepo na kubadilishana.
 
Ningebakiwa na moja tu, maana ingekuwa ni mchezo wa kupokea na kutoa hiyo hiyo moja)))
 
Teh Teh Teh haya bwana kweli swali zuri tena lina kiwango hapo ukiona mtu kamind ujue mmmmh. samahani natania.
 
mwanamme anayebadilishana chupi na mwanamke wake amepoteza kadi yake.. unless kama anacheza na mwanamme mwenzie! sijaona timu za watu wa jinsia tofauti wakibadilishana jezi.
 
Ni pale wewe wa kiume mchezaji pinzani akaja na bikini!!! ingenoga hiyo.
 
mwanamme anayebadilishana chupi na mwanamke wake amepoteza kadi yake.. unless kama anacheza na mwanamme mwenzie! sijaona timu za watu wa jinsia tofauti wakibadilishana jezi.

...unless wameamua kuweka hizo chupi 'souvenir', jambo linaloashiria watakuwa 'hamnazo' vile vile.
 
Idadi ni ile ile ulizo nazo, kwa sababu wewe unachukua na hapo hapo unatoa yako, unless uniambie kwamba mmoja wenu hakuja na "jezi" kabisa, hapo mwenye jezi ataloose bila kugain
Ha ha haaaa! hii kali
 
Wadau, ikiwa katika mpira wa miguu kila mechi inapoisha huwa kuna kubadilishana jezi kuonesha "FAIR PLAY".... Je, kama kungekuwa na fair play ya kubadilishana chupi mara baada ya tendo la ndoa ungekuwa na chupi ngapi?

Feel free to answer...

We kweli chapa kiuno, kwani chupi ni jezi kwenye hizi mechi?? Mara nyingi mechi za ngono zinachezwa utupu.😀
 
nadhani ningekuwa za kujaza chumba/kontena

1. Mabeki Tatu
 
nadhani ningekuwa za kujaza chumba/kontena

1. Mabeki Tatu = 67
2. walimu = 12
3. Manesi = 06
4. Mali za Watu = 21
5. Machangu = 39
6. Watoto wa vigogo = 04
7. Mke wa Kigogo = 01

Total..........................=150
 
nadhani ningekuwa za kujaza chumba/kontena

1. Mabeki Tatu = 67
2. walimu = 12
3. Manesi = 06
4. Mali za Watu = 21
5. Machangu = 39
6. Watoto wa vigogo = 04
7. Mke wa Kigogo = 01

Total..........................=150

Duh! Wewe unatisha mkuu...
 
Idadi ni ile ile ulizo nazo, kwa sababu wewe unachukua na hapo hapo unatoa yako, unless uniambie kwamba mmoja wenu hakuja na "jezi" kabisa, hapo mwenye jezi ataloose bila kugain
si kitoto wewe ni baaab kubwa! aliyesema 400 basi ndo imekula kwake. Labda zile mech za mchangani mwingine anakuja bila Jezi. lakini hiyo si fair play
 
Wadau, ikiwa katika mpira wa miguu kila mechi inapoisha huwa kuna kubadilishana jezi kuonesha "FAIR PLAY".... Je, kama kungekuwa na fair play ya kubadilishana chupi mara baada ya tendo la ndoa ungekuwa na chupi ngapi?

Feel free to answer...

Hahahahahaha ukikumbuke pia kwamba si kila mechi Wachezaji hubadilishana jezi. Kwa hiyo mechi nyingine unaweza usip[ewe jezi hata ukiomba. Nakumbuka Beckham alimkatalia mtu jezi yake kwa sababu mechi ile kwa national team ya UK ilikuwa ni ya 100 kwake hivyo alimtolea nje jamaa. Kama nakumbuka vizuri alikuwa ni mchezaji wa France.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…