Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh wngine size ya viuno nitofauti kabisa kwa hiyo nadhani kusingekuwepo na kubadilishana.
mwanamme anayebadilishana chupi na mwanamke wake amepoteza kadi yake.. unless kama anacheza na mwanamme mwenzie! sijaona timu za watu wa jinsia tofauti wakibadilishana jezi.
Ha ha haaaa! hii kaliIdadi ni ile ile ulizo nazo, kwa sababu wewe unachukua na hapo hapo unatoa yako, unless uniambie kwamba mmoja wenu hakuja na "jezi" kabisa, hapo mwenye jezi ataloose bila kugain
Noname, it just came in ma mind n nikaona c vibaya nikishare nanyi....hivi doc uliwa unafikiria nini kuanza hii thread... kazi ipo...
Wadau, ikiwa katika mpira wa miguu kila mechi inapoisha huwa kuna kubadilishana jezi kuonesha "FAIR PLAY".... Je, kama kungekuwa na fair play ya kubadilishana chupi mara baada ya tendo la ndoa ungekuwa na chupi ngapi?
Feel free to answer...
wajemeni huyu anastahili kuigwa kwa mwaka mzima (2010).Mi ningekua na chupi kama 400 hivi lakini zote za "mchezaji" mmoja.
Duh! Wewe unatisha mkuu...nadhani ningekuwa za kujaza chumba/kontena
1. Mabeki Tatu = 67
2. walimu = 12
3. Manesi = 06
4. Mali za Watu = 21
5. Machangu = 39
6. Watoto wa vigogo = 04
7. Mke wa Kigogo = 01
Total..........................=150
![]()
si kitoto wewe ni baaab kubwa! aliyesema 400 basi ndo imekula kwake. Labda zile mech za mchangani mwingine anakuja bila Jezi. lakini hiyo si fair playIdadi ni ile ile ulizo nazo, kwa sababu wewe unachukua na hapo hapo unatoa yako, unless uniambie kwamba mmoja wenu hakuja na "jezi" kabisa, hapo mwenye jezi ataloose bila kugain
Wadau, ikiwa katika mpira wa miguu kila mechi inapoisha huwa kuna kubadilishana jezi kuonesha "FAIR PLAY".... Je, kama kungekuwa na fair play ya kubadilishana chupi mara baada ya tendo la ndoa ungekuwa na chupi ngapi?
Feel free to answer...