Kupata mchezaji mzuri kwenye dirisha dogo sio rahisi kama kuramba ice cream.Sasa unalia nn wee? Mchezaji kaamua kutoka hapo Avic Town kimbiji kwan ni lazimaaaa? Hebu mumuache mtoto wa watu akasake life pande zingine, wakati wake ndo huu. Lol.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure boy alikuwa na mahaba na ynga lakini Yanga alizuiwa kuhamia timu anayoipenda. Feisal haipendi Azam ila anapenda hela, ndio maana atashindwa kuhama, maana hata GSM anazo pesa za kumpatia, not for saleSure boy yuko wapi sasa hivi
Kwani wewe ni mbumbumbu?Sasa unalia nn wee? Mchezaji kaamua kutoka hapo Avic Town kimbiji kwan ni lazimaaaa? Hebu mumuache mtoto wa watu akasake life pande zingine, wakati wake ndo huu. Lol.
Sent using Jamii Forums mobile app
Feisal ana mahaba na pesa na wazenji wenzake hayo mengine maneno tu kwa vile hamna pesaSure boy alikuwa na mahaba na ynga lakini Yanga alizuiwa kuhamia timu anayoipenda. Feisal haipendi Azam ila anapenda hela, ndio maana atashindwa kuhama, maana hata GSM anazo pesa za kumpatia, not for sale
Yanga waende FIFA,CAS au popote wakapoteze muda huko ila dogo keshasepa yupo Psg ya Chamanzi.Umeuona huo mkataba na clauses zingine.
Unajua Fifa hairuhusu palyer kuvunja mkataba katikati ya msimu??
Vipi leo hachezi?Wakati anasajiliwa Yanga Azam haikuwepo? Asubiri mkataba uishe
Semaji la Azam, unasemaje?Mkuu haya mambo sio ya kiholela kama unavyodai.shida ni madhaifu au matobo kwenye mikataba yetu.
Azam sio watu wa migogoro hata kidogo,Azam mcheza akitaka kusepa hata kama wanamuhitaji uwa wanamuacha kiroho safi,na pia wakitaka mchezaji huwa wanafata taratibu vizuri kabisa.
sasa kweye hili la Fei kuna madhaifu kwenye mkataba wa Fei na Yanga.
Azam kama club wamesimama kwenye mstari shida ipo huko kwa Yanga na Fei.
kuna mikataba unafungwa bila kuinua macho kuangalia ya mbeleni nini kinaweza kutokea.
volue of money ya m100 kwa malipo ya mchezaji kuvunja makataba kipindi icho Fei anajiunga Yanga ilikua ni mzigo mkubwa,ila kwa sasa timu kama Azam,Simba,Yanga wanazitoa kwasababu mpira umepanda thamani.
makosa yalnajirudia yaleyale ya madhaifu ya mikata ndo yanazaa migogoro.kumbuka swala la Singano,Efue n,k
Umeongea pointi sana.Shida sio kuondoka kwa Fei, bali namna anavyotaka kuondoka, na sio Fei bali wachezaji wengine waliobakia kufuata njia ya Fei ya kuondoka Yanga. Kwa njia hii kesho Azam akimtaka Aziz Ki wanampa hela TU ya kuvunja mkataba
Unahisi yanga ni kama wapanda coasterFeisal ana mahaba na pesa na wazenji wenzake hayo mengine maneno tu kwa vile hamna pesa
Acheni dogo akale maisha hmna pesa ya kumlipa wa kumtunza
Hawana hela ya kuongea na yanga ndio maana wakata shortcutAzam waache janjajanja, kama wanamtaka Fei waweke mzigo mezani, siyo kutafuta shortcut
Kusingekiwa na haya ya kwenda kusajili sijui wapi huko, timu ingesubiri TU wenzie wasajili na yeye kuwachukua kwa kuwapa hela za kuvunjia mkataba na kuwasomba wote kuwa wake. Ni upuuzi wa hali ya juu. Kama unamtaka mchezaji wa mwenzio nenda mkajadiliane bei ya kumnunua sio kuongea na mchezaji au mama yake.Umeongea pointi sana.
Yaani ingekuwa mchezaji anajiamulia tu kuvunja mkataba kwa kujitolea kiwango anachoona yeye atoe si ingekuwa vurugu kwenye soka.
Nitashituka sana kama Yanga hawatafungua kesi dhidi ya Azam fc,Hawana hela ya kuongea na yanga ndio maana wakata shortcut
Bora coaster kuliko tata indiaUnahisi yanga ni kama wapanda coaster