Faiza Ally aisifia chupi yake mitandaoni

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Mwana mama anayekuja juu kwa kasi ambaye pia ni mke wa mheshimiwa Joseph Mbilinyi kila kukicha anazidi kuonesha vituko vyake

Faiza leo kaamua kuipa promo chupi yake kwa kupita mbele za watu na kuwalingishia na akaona hiyo haitoshi akaamua kuwaelekeza mpaka mahali zinapopatikana chupi hizo

 
sugu alifumba macho kumpata huyo mwanamke. hawa wabunge nao hawa...kama alishindwa kutafuta mwanamke ataweza kutetea wananchi wa jimbo lake kweli?
 
Hapa sioni sababu ya kumshambulia wala nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…