Vigezo vyangu ni vyotePoint ni nini? Tatizo hakustahili au tatizo sio mTanzania? Wewe unafikili ni nani alistahili badala yake? As my opinion hizo ni bidhaa za mama na mtoto, Zari ni mzazi na anaweza ku inspire wazazi pia. Hii ni business brother, hivi unatalajia msichana asiyekuwa hata na mtoto akashawishi mama mwenye mtoto kununua products za watoto!, wapi na wapi! Hapo ni suala la marketing sio tu wamemweka ili auze sura, kitendo cha kumtumia Zari watu wengi wataamini hata kina tiffa na nillan wanatumia hizo pampers, kila kitu kina target.
Hakuna utaifa kwente biashara ndugu, kampuni yenyewe ya kikorea alafu wewe unaongelea utaifa? Huyo daimond waTanzania anapata endorsement Kenya, sasa na wao wakiangalia huo utaifa unafikili itakuwaje? Wabongo tunapenda sana kuwapangia watu cha kufanya tena kwa hoja pumba kama sijui uzalendo, Sasa unanitajia flavi na millen, are you seriously? Unaamini kuwa pesa waliyompa zari kwenye hii endorsement ingewatosha flavi na millen? Ndio maana wabongo tunaonekana sometimes ma mburula! Yaani uangaike na flavi na Millern wanaochukua ma dili ya word wide huko U.S aje akutangazie bidhaa ambayo market yake inacover nchi moja tu? Hao watu wangekuwa cheap hivyo ungewaona sana kwenye endorsement za hapa. Na kuhusu k-lyn ndio nimeamini hauna unachokijua, kabisa k-lyn akipigwe mapicha ya kuwekwa kwenye cover za diapers. Basi una kaziVigezo vyangu ni vyote
Utaifa, wange mpa mbongo
Na wapo wabongo wengi tuu wange stahili, kina Faraja Nyalandu,, kina Millen Magesse, Flaviana Matata na Jacklynn Mengi etc yaan kampuni ndio kazi yao ingefaa wachunguze katika watu million 54 kwa nn ukose mtu bhana labda uwe mvivu.
Tena wangekuwa watu decent kuliko Zari na sioni Zari ange wapitia wap hasa tena ukizingatia kwa sasa kuna group kubwa tu la wabongo hawamkubali zari.
Wabongo tumezidi shobo kwa wageni period.
Hao wote uliowataja hawafikii fame ya Zari kwa sasa hapa Tanzania!Vigezo vyangu ni vyote
Utaifa, wange mpa mbongo
Na wapo wabongo wengi tuu wange stahili, kina Faraja Nyalandu,, kina Millen Magesse, Flaviana Matata na Jacklynn Mengi etc yaan kampuni ndio kazi yao ingefaa wachunguze katika watu million 54 kwa nn ukose mtu bhana labda uwe mvivu.
Tena wangekuwa watu decent kuliko Zari na sioni Zari ange wapitia wap hasa tena ukizingatia kwa sasa kuna group kubwa tu la wabongo hawamkubali zari.
Wabongo tumezidi shobo kwa wageni period.
Sijajua umepimaje hiyo fame , lakin ndio ukweli huo wako weengi wangepewa, yaan hata wange mpa hamisa mobeto ninge waelewa,Hao wote uliowataja hawafikii fame ya Zari kwa sasa hapa Tanzania!
Biashara inatangazwa na watu maarufu brother!
Lakini pia watanzania tuamke, tujipiganie na sio kutegemea kupewa kila kitu tukiwa tumekaa
Biashara ni uwanja wa mapambano, sio sehemu ya kufantiana hisani!
Mbona diamond anazipata hizi deals? Au na yeye anahurumiwa?
Akitaja uniiteSijajua umepimaje hiyo fame , lakin ndio ukweli huo wako weengi wangepewa, yaan hata wange mpa hamisa mobeto ninge waelewa,
nyie mnasema wabongo tumezubaa nin cha maana ambacho Zari ka kifanya kuwazidi wabongo?
Hii kitu naiona hata kwenye mashule huko, eti wamiliki wanaamin walim wa kenya na uganda ndio bora kuliko wa kwetu hahahaha Tanzania hatupendani mweeh.
Nitajie kampuni gani za Uganda zita mpa dili diamond kabla ya kuwapa watu wao wa uganda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Akitaja uniite
Bwana wee hiyo hata mimi namuunga mkono Faiza, tatizo sisi wabongo tuna roho mbaya hatupendani mawivu yametujaa
Hapo unaweza kuona Noel ndo kahusika kumbe kuna msururu wa watu nyuma yeye anatumika tu, huwezi jua kuna wabaya wa mondi, wa hamisa, wa wema yaani watanzania tunachoweza ni majungu na kukomoana
Eti mnasema mastar watanzania hawajiheshimu huyo mganda anajiheshimu kwenye nini wakati na yeye ni wale wale tu.
Ama kweli nimeamini nabii hathaminiwi kwao huko kwao Uganda hana dili yoyote ya maana ila huku kwetu tunamuona malaika na hata aliyemfanya akajulikana kwa wengi sasa wanamtukana eti hana akili mwanamke ndo mwenye akili, angekuwa hana akili angemzalisha watoto wawili
Safaricom Kenya wamempa deal diamond!Sijajua umepimaje hiyo fame , lakin ndio ukweli huo wako weengi wangepewa, yaan hata wange mpa hamisa mobeto ninge waelewa,
nyie mnasema wabongo tumezubaa nin cha maana ambacho Zari ka kifanya kuwazidi wabongo?
Hii kitu naiona hata kwenye mashule huko, eti wamiliki wanaamin walim wa kenya na uganda ndio bora kuliko wa kwetu hahahaha Tanzania hatupendani mweeh.
Nitajie kampuni gani za Uganda zita mpa dili diamond kabla ya kuwapa watu wao wa uganda.
Mimi nimekuita!Akitaja uniite
Nani ana mpango na hao wake wa waheshimiwa? Hawana amsha amsha yeyote wapo kama hawapo yani. Ishu ni kuhakikisha sales figure na brand awareness.Vigezo vyangu ni vyote
Utaifa, wange mpa mbongo
Na wapo wabongo wengi tuu wange stahili, kina Faraja Nyalandu,, kina Millen Magesse, Flaviana Matata na Jacklynn Mengi etc yaan kampuni ndio kazi yao ingefaa wachunguze katika watu million 54 kwa nn ukose mtu bhana labda uwe mvivu.
Tena wangekuwa watu decent kuliko Zari na sioni Zari ange wapitia wap hasa tena ukizingatia kwa sasa kuna group kubwa tu la wabongo hawamkubali zari.
Wabongo tumezidi shobo kwa wageni period.