Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Mwanadada Faiza ambaye ni mke wa mbunge Joseph Mbilinyi aka Sugu amefanya kitu ambacho kwa sasa ni gumzo huko mtandaoni. Ni kwamba katupia picha akiwa anajifungua yaani ndo katoto kakiwa kanatoka tumboni akiwa kakashika huku kapanua mapaja yake yote yako wazi yaan kila kitu kiko nje nje.
Kibumbu chote kiko waz yaani hajavaa chochote hadi matiti yako wazi unaelewa maana ya mtu aliyeko uchi ndo hivo sasa.
Huyu dada sielewi anasumbuliwa na kitu gan jamani sijui hata kama ana kaka zake
Naogopa kuweka hapa hiyo picha lakini kama kuna jasiri aiweke
LONDON BABY
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Mwanadada Faiza ambaye ni mke wa mbunge Joseph Mbilinyi aka Sugu amefanya kitu ambacho kwa sasa ni gumzo huko mtandaoni. Ni kwamba katupia picha akiwa anajifungua yaani ndo katoto kakiwa kanatoka tumboni akiwa kakashika huku kapanua mapaja yake yote yako wazi yaan kila kitu kiko nje nje.
Kibumbu chote kiko waz yaani hajavaa chochote hadi matiti yako wazi unaelewa maana ya mtu aliyeko uchi ndo hivo sasa.
Huyu dada sielewi anasumbuliwa na kitu gan jamani sijui hata kama ana kaka zake
Naogopa kuweka hapa hiyo picha lakini kama kuna jasiri aiweke
LONDON BABY