Acha uwongo na promo za kijinga, nimeona hiyo picha wala sehemu za siri huwezi kuona kama unavyotamka hapa na isitoshe hata matiti hayaonekani ki hivyo, watanzania wengi mmekuwa wanafiki sana na mnapenda sana kutumia social media kusambaza umbea, inashangaza sana yaani umeaona kitu cha ajabu alafu unahamasisha watu nao wakione huu ni upumbavuNimeshindwa kuidownload picha mkuu ingia inster then itupie