Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Nimeshindwa kuidownload picha mkuu ingia inster then itupie
Acha uwongo na promo za kijinga, nimeona hiyo picha wala sehemu za siri huwezi kuona kama unavyotamka hapa na isitoshe hata matiti hayaonekani ki hivyo, watanzania wengi mmekuwa wanafiki sana na mnapenda sana kutumia social media kusambaza umbea, inashangaza sana yaani umeaona kitu cha ajabu alafu unahamasisha watu nao wakione huu ni upumbavu
 
Mange kawaharibu watu sana, mmekuwa mashilawadu kumzidi yeye
 
Nataka k mimi niione sio kitoto tu na lijasho likimvuja
 
Acha uwongo na promo za kijinga, nimeona hiyo picha wala sehemu za siri huwezi kuona kama unavyotamka hapa na isitoshe hata matiti hayaonekani ki hivyo, watanzania wengi mmekuwa wanafiki sana na mnapenda sana kutumia social media kusambaza umbea, inashangaza sana yaani umeaona kitu cha ajabu alafu unahamasisha watu nao wakione huu ni upumbavu
Mkuu wewe ndo mume wake sugu nini unaona umezalilika hasira umehamishia kwangu
 
Acha uwongo na promo za kijinga, nimeona hiyo picha wala sehemu za siri huwezi kuona kama unavyotamka hapa na isitoshe hata matiti hayaonekani ki hivyo, watanzania wengi mmekuwa wanafiki sana na mnapenda sana kutumia social media kusambaza umbea, inashangaza sana yaani umeaona kitu cha ajabu alafu unahamasisha watu nao wakione huu ni upumbavu
Kwa hiyo kwako wewe kile ni kitu cha kawaida. Yani ndio utamaduni wetu ule siyo.?
 
Acha uwongo na promo za kijinga, nimeona hiyo picha wala sehemu za siri huwezi kuona kama unavyotamka hapa na isitoshe hata matiti hayaonekani ki hivyo, watanzania wengi mmekuwa wanafiki sana na mnapenda sana kutumia social media kusambaza umbea, inashangaza sana yaani umeaona kitu cha ajabu alafu unahamasisha watu nao wakione huu ni upumbavu
Kibumbu kiko nje mkuu tena kimevimba vimba
 
Hii mitandao inawadhalilisha wanawake karne hii, kama instagram ni balaa sana: na hiz smartphone ndo hatari zaidi haswa vitecno
 
Alafu wapo wanaomlaumu Sugu kwa kumuacha huyu Malaya! Japo nna machafu yangu sina mema yote Duniani ila huyu mwanamke mwenzangu ana chefua moyo
 
Alipoyekuhadithia akupe habari kamili mtoto ana miezi 4 wewe unasema kajifungua leo??? [emoji102][emoji101]
 
huwa namwoneaga huruma sana mbunge wangu mbilinyi, huyu dada walishaachana kitambo ila kila kituko anachokifanya huyu dada hasa mitandaoni lazima wamlifae mh. mbilinyi! Ai kenti imagini Mh.mbilinyi anajisikiaje pindi anapoona jina lake linatajwa kwenye kituko cha huyo dada faiza!??
Wote akili zao mbovu tu kinachomstiri sugu ni huo ubunge tu tofauti na hapo ni mshenzi wa tabia
 
Acha uwongo na promo za kijinga, nimeona hiyo picha wala sehemu za siri huwezi kuona kama unavyotamka hapa na isitoshe hata matiti hayaonekani ki hivyo, watanzania wengi mmekuwa wanafiki sana na mnapenda sana kutumia social media kusambaza umbea, inashangaza sana yaani umeaona kitu cha ajabu alafu unahamasisha watu nao wakione huu ni upumbavu
Acha kusapoti upumbavu mjinga wewe...!!! Huoni kwmb hata wewe unapenda kutumia social media kusapoti ujinga..?? Na wewe huoni unaposema matiti hayaonekani kivile unatushawishi tukaangalie to wat extent yameachwa wazi..!!?? Kama wewe uliona, whether kwa kuambiwa au kwa kuingia insta, kwann na wengine wasione kupitia JF..?? Au unadhani wote tupo huko insta..???

Yani wewe ni lijinga kabisa. Wazazi wako wana hasara sana.
 
Ila si tupicha twa uchi ni tupicha twa uwazi tu!

Ila ina faida na madhara pia, yupo mtu atawaheshimu wamama wote kwa uhalisia wa hii picha bila edit inatisha aisee, na yupo mtu atamdharau huyu dada kwa kuona hajielewi ila yote sawa tu kulingana na mitazamo.
 
Kilicho kipya hapo ni hiyo picha tu kupostiwa, ila hiyo habari uliyoandika ni upupu mtupu..

Inaonyesha mleta post hujui chochote unakurupuka tu na stori zako kichwani na kuanzisha uzi.
 
Back
Top Bottom