Alikuwa na kabla au baada ya kupata uheshmiwa? Sugu nae ni yule yule kupata uheshimiwa huwezi dilika overnight...Mimi binafsi namlaumu mhesh Sugu kwa sababu ukibaitika kuitwa mhesh inatakiwa uwe makini hata kwa mademu unaotembea nao ,cheki sasa huyu manzi anavyomuahaibisha Mheshimiwa.
Nenda kambi yoyote ya jeshi uwe unajipiga vi-selfie kila kona, halafu useme picha najipiga kwa idhini yangu.
Kila mahali na utaratibu wake, na zaidi si maadili mama mtumzima kujipiga picha unazalishwa.
Au ni sifa nzuri?
Hahahahaaaa Nampula baby
Fanya Editing toHapo juu ni madaktar siyo maktar mods naomba mrekebishe
Acha tuu Jirani, binadamu wa leo wamezaliwa bila mshipa wa aibuss hivi nasikia ibilisi anakataa na dhambi nyingine anasema mnamsingiziaaa....wabunifu wa dhambi teh!
Kuna ambaye hajui kuwa binadamu uwa anajisaidia haja kubwa?
Unaweza kupost picha ukiwa unajisaidia haja kubwa?
Kuna ambaye hajui kuwa binadamu wanajamiiana, je unaweza post picha ukiwa unajamiiana?
Kiumbe alicholeta watu walishakiona na wakampa pongezi, na kila mtu alijua kimepatikanaje hakukuwa na haja ya kupost picha hiyo...
Yule chizi ww kama mailman city alienda kwene hafla kimsambwanda chake kipo waz.pia aliwahi VAA pampas kwene besideiSidhan kama aliruhusu itakua amefanyiziwa nawatu wa sugu ili azid kuaibika hawez ruhusu kitu kama hii hapa nakataa