Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Mbona kaipiga upande upande sasa si wangempiga kwa mbele ili tuone vizuri
 
Iko hivi, kuna sheria za serikali na sheria za asili. Mfano ni wazi tunajua Kina mama wanavaa chu.pi, pedi, wanfanya mapenz na kina baba, ni vitu vipo lakini haviwi wazi peupe.Ndio maana mtoto akifikia umri flani ana hamishwa kutoka chumba cha baba na mama na sio kwamba katiba inasema hivyo, na sio kwamba wazazi wanavunja sheria ni sheria za asili.

Huyo malaya alitakiwa kutupia picha za mchakato mzima wa kutafuta huyo mtoto
 
Huyu mwanamke siyo wa sayari dunia.

Kuna mtu anasema kuna aliens (ETs) basi labda masalia yake ndiyo huyu faizaally.

Japo najua na naelewa kuwa hakuna kitu kinaitwa aliens.
Hatar sana
 
Halafu mi naona anatafuta kiki 2
Hana cha kuwafanya watu wamgande ndo maana kaamua kufanya hivyo unaona hata insta alivyosema
Anatafuta followers[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23]

ROBERTO 20,

Aiseeeeh,
Hizi sifa zitatupotezea watu wengi sana.
 
Ameshatupia video ipo kwa blog yake.
Basi hizo sheria za asili hazina nguvu, tukae kimya tuwe watazamaji.
 
Amejifungua kitambo, hiyo kaipost karibuni lakini hajajifungua karibuni kama wanavyodai.

Japo alijifungua kitaaambo sana ila kumbuka utata wake umepostiwa very recently na wabongo kama kawaida hawaachi kuitrendisha kama ni ya jana au juzi hivi.
 
Hiyo sio akili wala nini ni picha ya mtu aliyemaliza kujifungua na kujipongeza Kwa kujipiga picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…