Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Iko hivi, kuna sheria za serikali na sheria za asili. Mfano ni wazi tunajua Kina mama wanavaa chu.pi, pedi, wanfanya mapenz na kina baba, ni vitu vipo lakini haviwi wazi peupe.Ndio maana mtoto akifikia umri flani ana hamishwa kutoka chumba cha baba na mama na sio kwamba katiba inasema hivyo, na sio kwamba wazazi wanavunja sheria ni sheria za asili.Sijui ni hospitali gani, lkn nyingi tu binafsi wanaruhusu, hata kupiga picha hawakatazi, niliingia na simu lkn picha nilizopiga ni za mtoto pekee.
Tatizo ni huo utamaduni wa kiafrika lakini kwa upande wangu sidhani kama Faiza ana kosa lolote la kisheria alilovunja!
Kama ipo sijawahi isikia.
Huuu ni utahiraa na kukosa hofu ya Mungu..hafai kuwa mke
Hatar sanaHuyu mwanamke siyo wa sayari dunia.
Kuna mtu anasema kuna aliens (ETs) basi labda masalia yake ndiyo huyu faizaally.
Japo najua na naelewa kuwa hakuna kitu kinaitwa aliens.
Halafu mi naona anatafuta kiki 2
Halafu mi naona anatafuta kiki 2
Hana cha kuwafanya watu wamgande ndo maana kaamua kufanya hivyo unaona hata insta alivyosema
Anatafuta followers[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23]
Ameshatupia video ipo kwa blog yake.Iko hivi, kuna sheria za serikali na sheria za asili. Mfano ni wazi tunajua Kina mama wanavaa chu.pi, pedi, wanfanya mapenz na kina baba, ni vitu vipo lakini haviwi wazi peupe.Ndio maana mtoto akifikia umri flani ana hamishwa kutoka chumba cha baba na mama na sio kwamba katiba inasema hivyo, na sio kwamba wazazi wanavunja sheria ni sheria za asili.
Huyo malaya alitakiwa kutupia picha za mchakato mzima wa kutafuta huyo mtoto
Amejifungua kitambo, hiyo kaipost karibuni lakini hajajifungua karibuni kama wanavyodai.
Huuu ni utahiraa na kukosa hofu ya Mungu..hafai kuwa mke
Huu mjadala ulishaisha unauleta tena unaonekana una gubu sana weweJaman