Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Ana kujiamini kwa hali ya juu anaishi maisha yake to the fullest vile anavyojisikia yeye Wengi wanaishi kufuata mkumbo tu huo ndio ukwl ...sisapoti alichofanya ila ndio hivyo...
 
Namuonea huruma huyo mtoto kuzaliwa na huyo mama, akiwa wa kiume ataumia zaidi.
 
Mwenye picha zake nyingine nyingi alizo piga azimwage hapa tuburudike na hiki kimvua
 
Mbona hajapiga picha kwa mbele napo tuone?!
 
Si mnawaita mastaa?????
Ndio hao ndugu yangu
 
Ana kujiamini kwa hali ya juu anaishi maisha yake to the fullest vile anavyojisikia yeye Wengi wanaishi kufuata mkumbo tu huo ndio ukwl ...sisapoti alichofanya ila ndio hivyo...
Pointi yako na mada hewani haviendani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…