Mtihani sana Mungu awape ufahamuUshaambiwa mastaa wengi bongo ni choka ile mbaya ila wanaigiza maisha tu na ndiyo maana wengi wao wanaishia kurogana tu na kuwashusha wenzao.
Duhhhh....Faiza mbona anaonekana ana maisha mazuri au ndo bongo movieLong story short
Alienda kuomba mzigo awe analipa kidogo kidogo
Akapewa, Ila mpaka Leo hajamalizia pesa ya watu,
Wasukuma wa Shinyanga huko Silamagazi ndo alama ya ushamba duniani.[emoji13][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji1]daahhh
Wasukuma mpooo?!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣PoleNilipigwa 50k blenda mbovu mpk Leo siagizi nje
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna ex wangu alijiingiza kwenye hii biashara ya kuwaagizia watu vitu akaishia kutapeliwa. Na yeye sasa hivi anadaiwa zaidi ya Tsh 5m na watu mbalimbali. Anajuta. Nimesikitika sana ila siwezi kumsaidia kwasababu aliniacha akaenda kuolewa na MSUKUMA. Ilikuwa ni dharau isiyovumilika
🤣🤣🤣Kuna ex wangu alijiingiza kwenye hii biashara ya kuwaagizia watu vitu akaishia kutapeliwa. Na yeye sasa hivi anadaiwa zaidi ya Tsh 5m na watu mbalimbali. Anajuta. Nimesikitika sana ila siwezi kumsaidia kwasababu aliniacha akaenda kuolewa na MSUKUMA. Ilikuwa ni dharau isiyovumilika.
sugu atalipa! Case closedHii guys
Haya mambo ya mjini Daslam socialite Faiza na asieshiwa vituko amelipuliwa na kashfa za utapeli Kwa Baadhi ya watu waliompa Pesa awaletee mzigo kutoka China
Ukimbukwe miaka kadhaa iliyopita alianza biashara ya kwenda China kunnua vitu unampa Pesa anakuagizia then mizigo ikifika unafata
Sasa baasi nadhani hapa kati mambo yaliingiliana sijuii alikumbwa na Nini maana ana madeni na mizigo ga watu mingi wanamdai tu the extent mpk anapelekwa polisi analipa
Yasemekana pia ukimdai sana anakublok paaap,na watu wengi wanalalamika hawalipi na wanadai pesa za Mizigo
Faiza mwenyewee alishakiri kua anadaiwa na alitaka kuuza nyumba alipe madeni watu wakamshauri asiuze alipe pole pole
Kero yake ni kua ukimdai unakula mitusi na blok juu na huna Cha kumfanya ,mtoto wa mjini tenaa...
Jana Naona mange Kamlipua paaap Yaani hizo testimony za watu wanaomdai mpk huruma ,Mungu amsaidiei alipe.
Na Sasa hivi kaanzisha mchezo wa kupeana ila Bado watu wataenda
Nimegundua online business bongo Bado sana wengi wafanyabiashara ni matapeli tapeli tu,na hawana mitaji ya kuovercome losses Incase ikitokea
Ndo maana faiza Leo anaonekana tapeli
Maana pesa hawana isipokua Drama tu za mitandaoni
Lingine unaagiza mzigo January unatumia December
Ila watanzania tulivyo wajinga Bado watu wataendella kuagiza pia Ili bàadae walalamike tu
Watu Sasa hivi hawaogopi Mungu wanafanya wanavojua ,yaani ht umpelelek wapi bad anaendeleza mambo yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alikua anauzia mzigo wake kwa wadada flani mama yao alikua n saloon ccm mkoa,kawaliza watu kipindi hicho
Si kwa mastaa uchwara wa Kibongo, hawana issue kabisa na ndiyo maana wanaishia kujiuza tu na kuna wengine wanajiuza na watoto wao wakishea mboo ya Mmakonde
Ukisha poteza trust kwenye biashara ya mtandao,kutoa tena ni ngumu sana..Ila kuna wateja wengine pasua kicjwa .kwa hili faiza anaenda kuwa mfanyabiashara kamili sasa..maana anasafishwa kwa moto aise
Kuagiza vitu Mtandaoni ni elimu pia. Watu wengi hii elim hawana.Mkuu hebu funguka...mi niliagiza vile vikoti vyao vya leather Alibaba, siku napokea hivyo vikoti hata mtoto wangu hakimtoshii
Matatizo yapo na yanaeleweka sababu documents zote zipo, mifumo ya kuagiza mizigo ipo very clear hata likitokea tatizo unaweza hata usijieleze docs zikajieleza what happened. Pia usisahau risks za shipping zipo covered na insurance. Ukisoma conversation za huyo dada na wateja wake utaona tatizo ni yeye.Usishabikie haya mambo hayana mantiki haswa kwa waagizaji wadogo wanaofanya consolidation kwa kushare continer kuna risk kubwa watu wanafariki kwa presha kile kipande mzigo upo majini karibu siku 14 na zaidi ba kuna pesa ndefu zipo herani.
Watu washafanya consolidation mzigo ukabuma njiani huyo aliagizia watu hajui afanyaje yeye kalost ila je wenzie watamuelewa nn?
Juzi tu hapa containers hapo TICTS zilidondoka na kuleta hasara ...Hayo mambo ni risk sana ya kuagiza usishabikie kama hujui biashara.
HahahaKuna ex wangu alijiingiza kwenye hii biashara ya kuwaagizia watu vitu akaishia kutapeliwa. Na yeye sasa hivi anadaiwa zaidi ya Tsh 5m na watu mbalimbali. Anajuta. Nimesikitika sana ila siwezi kumsaidia kwasababu aliniacha akaenda kuolewa na MSUKUMA. Ilikuwa ni dharau isiyovumilika.
Àhsante brother Kwa hii elimuIKuagiza vitu Mtandaoni ni elimu pia. Watu wengi hii elim hawana.
Mimi kwangu 80% ya vitu vyangu naagiza Ali Baba Hadi glass na vijiko vya kulia chakula.
Kwa wewe unaeagiza nguo hakiksha unajua vipimo vyako. Ukiona nguo umeipenda ingia DM Kwa supplier ongea nae kuwa unahitaji bidhaa Fulani ya vipimo a,b,c.
Unakuta supplier ana total sales ya Dola 400,000 zaidi ya milion 800 aje kukuibia wewe shilingi 10,000.
Kingine kama huna knowledge kubwa ya kununua vitu Mtandaoni nunua vitu Kwa verified sellers Tu.
Kingine kama umepokea bidhaa ambayo hukuagiza unaruhusiwa kuirudisha.
Changamoto watu ignorant kwenye manunuzi ya mtandaoni. Kuna MTU aliona simu inauzwa Dola 2. Akaagiza kumbe kakuta ni cover la simu. Lakini hakujua kuwa Kwa chini walikuwa wameandika ni Phone case yeye akajua ni simu kumbe ni Cover la simu.
Kingine watanzania tujifunze kiingereza ni aibu.
Hii chini ni Sera ya kurudisha mzigo na kurudishiwa pesa kama umefanya manunuzi unapata mzigo usio na vigezo vyako. Ila watanzania Kwasababu ni mambumbu yanaishia kufoka eti yamepokea mzigo sio!
Halafu kingine huruhusiwi Kufanya malipo nje ya payment system ya Alibaba. MTU anaingia Ali Baba anakutana na mchina wanabadirishana namba za watsap wanafanya business nje ya mfumo. Hii ni problem. Huruhusiwi.
Watanzania tujifunze haya mambo. Jifunzeni muwe mnaagiza peke yenu.View attachment 2614032