brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Mwanamama mzazi mwenza wa mheshimiwa Joseph Mbilinyi Sugu atangaza kutafuta mwanaume ili ampe ujauzito na hatimaye apate mtoto wa kiume kwa kuwa ana nguvu za kutosha za kulea
Haya sasa kazi kwenu ambao hamna mademu, toto limejitokeza hilo changamkia fursa kabla hajabadili mawazo
NB :hance mtanashati siyo mtu wa mchezo mchezo
Haya sasa kazi kwenu ambao hamna mademu, toto limejitokeza hilo changamkia fursa kabla hajabadili mawazo
NB :hance mtanashati siyo mtu wa mchezo mchezo