Faiza Ally sasa ahamishia shambulio kwa mke wa Mh.Sugu

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,384
Miezi kadhaa Baada ya mashambulio makali kwa mzazi mwenzake juu ya malezi ya mtoto,mrembo asiekwisha matukio Bongo Faizza Ally, amemshambulia vikali mtandaoni Mke wa mbunge sugu(happiness msonga), sababu zikiwa ni kuhisi kutukanwa na accounts fake za Mke huyo wa mheshimiwa sugu. Tazama picha.


 
Mama Li
Alipost afu akafuta?nimeingia insta sijaona kama kapost
 
Watu wana data!kumbe alikuwa mke wa mtu before sugu!kaliamsha dude!
 
Huyo dada kma anandoa yke basi yeye na sugu ni mahawara tu mpka ndoa ya kwanza ifutwe kikanisa au mahakama
 
huyu faiza ana wivu khaaah!! mtu kasha move on na kashazaa na mwanaume mwingine mtoto wa pili lakin kila siku kazi kumuandama sugu!!
sugu alimpa nini huyu dada mbona kashindwa kabisa kumsahau!!
hata kama huyo dada alishawahi kuolewa kwani haruhusiwi kuolewa tena kama kashaachika!! wangapi walishaolewa/oa ndoa za kanisani wakaachika na kuolewa/kuoa tena bhana!
 
ni ushamba wa hali ya juu
 
Anaposema pole kaka Minja, halafu baadaye anasema usikute wakati huo (bi harusi) hakuwa na coice, ina maana Minja sio choice? Pole ya nini wakati unakuja kumdharau tena?
 
Huyu Shishirapa anapenda kiki kama mkuu wa mkoa wa Dar es salaam vile.
 
Watu wana data!kumbe alikuwa mke wa mtu before sugu!kaliamsha dude!
Mkuu bongo hii mwizi akiiba usiku wa manane hakuna ambae atasema alimuona,ila ukivusha demu usiku wa manane utaonwa tu[emoji23]
 
Faiza bana

Inawezekana akikumbuka shughuli ya sugu wivu unampanda

Sasa kama happy aliolewa so what? Ndio keshapendwa sasa na Sugu na ndoa inawezekana ndoa ya pili hiyoooooo..... kwa raha zake

Apambane na mahusiano yake na yeye apate wa kumuoa
 
Doziiiiii labda sugu alimpa dozi ya uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…