Sugu alimpendea huo ukichaaMbona anaongea kama kichaa Mara Yuko Tyr kuzaa nae mtoto wa pili kama Mr. II, Sugu akitaka wazae nae .
Mara anajutia kuliwa Achibobo yake bila Ndom na Sugu so which is which then.
Au ile kauli kwamba mimi nyama sili ila mchuzi nakunywaHiyo inaitwa SITAKI NATAKA
Si passport size sister yaani unapenda nusu kuanzia kiunoni kushuka chiniSasa unawezaje kuipenda dudu bila kumpenda mwenye dudu.....
Nyama ya nguruwe haramu mchuzi wake halali.Au ile kauli kwamba mimi nyama sili ila mchuzi nakunywa
Kwahiyo hamkiss.....nyie ni dyudyu tu.Si passport size sister yaani unapenda nusu kuanzia kiunoni kushuka chini
Ha ha haSo hataki warudiane kimapenzi bali Kingono tu!!? Amenogewa na ile monthly pay ya mtoto anataka ku-idouble
Kwa hiyo akija kuolewa huyo mme wake atakubali hiyo principle kwamba mke wake ni lazima azaage na sugu ili watoto wake wasiwe na mababa tofauti?Mi huyu dada nmemuelewa na ukiangalia vizuri anamantic kwa alichokiongea,kasema hataki watoto wake wawe na mababa tofauti tofauti something which is good kwa malezi ya watoto pia.