Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
ujue huyu mama nnavyomuheshimu nitakuwepo kwenye interview yake. naomba umuulize very constructive questions. huyu mama ana mambo mengi sana kichwani kwake kama hamjui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu mama kifimbo cheza ndani ya nyumba yaanLeo ni kiangalia mara mbilimbili kabla ya kupost la sivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa mnampa sifa asizostahiliHuyo Ajuza atakurekebisha kwenye sentensi zako mwanzo mwisho.Ni mwalimu wa Kiswahili huko Ulaya.
Kama namuona atakavyonyoosha watu leoAcha tu mama kifimbo cheza ndani ya nyumba yaan
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti ajuzaHuyo Ajuza atakurekebisha kwenye sentensi zako mwanzo mwisho.Ni mwalimu wa Kiswahili huko Ulaya.
kweli kabisa naamini atatumiaNamshauri atumie kiswahili kwa kweli
Kwa nini my dear SisSiku hizi sikuwezii
ChAji simu kabisa
Na ile kauli yake pendwa 'huko shule mmeenda kusomea ujinga'kweli kabisa naamini atatumia
Yaan leo upolee ila nampenda sanaKama namuona atakavyonyoosha watu leo
Baby hili ni kosa JF
haswaaa tuwe makiniNa ile kauli yake pendwa 'huko shule mmeenda kusomea ujinga'
Nafikiri itatumika kiasi chake leo