NIYOMBARE
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,718
- 4,228
katika yote ni uchwara tuu umeona? acha uduwanzi mkuuUnaposema uchwara unakosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katika yote ni uchwara tuu umeona? acha uduwanzi mkuuUnaposema uchwara unakosea
Umegoma kutuma picha[emoji23][emoji23]Nini tena mamy
Ujasiriamali ni mgumu sana. Nadhani ndiyo maana kuna "ujasiri" kwenye hilo neno.Umesema wewe ni mjasiriamali mwenye projects lukuki!
Je kwa kiasi gani umefanikiwa?
Zipi ni challenge kuu!
Kama yapo mafanikio je misingi yake mikuu 3 ni ipi?
Naunga mkono hojaKuwa na kikomo cha maswali na muda.jali muda wa watu pia.usijione una haki sana yakuuliza maswali achia wengine mda waulize yamwao.
Interview inanoga kwa kujibu maswali ya wanachama wote, kwasababu kila mtu anadukuduku lake.Kweli kabisa mkuu...embu pata picha unauliza swali badae unaambiwa hilo nimeshajibu?? Kuna shida ipi tukiuliza hapa na akajibu hapa hapa..? au kwa mfano unauliza swali sasa hivi kwa thread inavyokwenda kasi unadhani ataona yote na ayajibu yote mkuu hapo baadae??
Naona kafatwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu cuzoo nenda nasikia ushaunguza mboga huko[emoji14][emoji14][emoji40][emoji40]
katika yote ni uchwara tuu umeona? acha uduwanzi mkuu
Yani ni shida tupu ndo maana siwezi kabisaTatizo interview hazina utaratibu, kila mmoja mjuaji. Taabu kweli kweli.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
KE NI KE TU!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Interview inanoga kwa kujibu maswali ya wanachama wote, kwasababu kila mtu anadukuduku lake.
Asante swali la mwisho!Ujasiriamali ni mgumu sana. Nadhani ndiyo maana kuna "ujasiri" kwenye hilo neno.
Mafanikio yapo nashukuru lakini si ya kufumba na kufumbua.
Muhimu ni nidhamu, ukweli na "consistency".
Bila hivyo huwezi kujenga jina zuri na bila jina zuri sahau ujasiriamali.
Busara yako ni ndogo sana ndugu yangu.Dah!subiri kidogo
Kauli yako hii ni wazi ww ni KE!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu binti huwa anajikuta mjuaji sana kumbe bichwa maji tu.
Mimi ni Nissan nyeupeHivi ww huwa ni KE??
Asante swali la mwisho!
Unapenda dunia ikumbuke kwa nini hasa Mungu akikuchukua!
Legacy ipi utaacha!
Bado nasubiri majibu yangu.Watoto wema watakaonikumbuka kwa kuniombea mema kwa Mwenyeezi Mungu.