Faiza: Ushindi wa Sugu hauna faida kwangu

Faiza: Ushindi wa Sugu hauna faida kwangu

Nadhani Mr Sugu ktk ajali mbaya alizowahi kukutana nazo na alizopata duniani kuliko hata kufa ni pamoja na kuzaa na huyu kinyamkera.
 
Nadhani Mr Sugu ktk ajali mbaya alizowahi kukutana nazo na alizopata duniani kuliko hata kufa ni pamoja na kuzaa na huyu kinyamkera.

Mkuu umenena vema!! Alafu nimeambiwa ni mzaramo
 
Jamani muwe mnaangalia watu wa kuzaa nao, kuna binadamu wengine utaomba mwisho wa dunia ufike.
 
Jamani muwe mnaangalia watu wa kuzaa nao, kuna binadamu wengine utaomba mwisho wa dunia ufike.

Makabila gan? Wanawake huwaga hawanaga mambo ya kibwege kama ya ilo Lijanamke?
 
Nimecheka sana, faiza Leo kavaa shela kwenye b.day yake, ikumbukwe b.day kiingilio ni sh elfu 50, kasema michango hiyo watapelekewa yatima
 
Faiza ktk ubora wake, hahaha
 

Attachments

  • 1450379685329.jpg
    1450379685329.jpg
    14.1 KB · Views: 441
Nimecheka sana, faiza Leo kavaa shela kwenye b.day yake, ikumbukwe b.day kiingilio ni sh elfu 50, kasema michango hiyo watapelekewa yatima

faiza anatumia nguvu sana kupata umaarufu ila nyota yke inagoma......sugu mrudie mzazi mwenzio akili irudi sawa
 
Hahahaa yani hiii sasa ni psychotic case,sugu amuonee huruma mwenzie bado hajakubaliana na hali

kweli huyu dada anashida mungu amlinde asije fungwa katani kupelekwa mirembe.....anatumia nguvu sana kupata umaarufu n kujulikana ila mhhhh
 
Nimecheka sana, faiza Leo kavaa shela kwenye b.day yake, ikumbukwe b.day kiingilio ni sh elfu 50, kasema michango hiyo watapelekewa yatima

Faiza ktk ubora wake, hahaha

Hahahaa yani hiii sasa ni psychotic case,sugu amuonee huruma mwenzie bado hajakubaliana na hali

faiza anatumia nguvu sana kupata umaarufu ila nyota yke inagoma......sugu mrudie mzazi mwenzio akili irudi sawa

kweli huyu dada anashida mungu amlinde asije fungwa katani kupelekwa mirembe.....anatumia nguvu sana kupata umaarufu n kujulikana ila mhhhh

Ana uthubutu faiza...hahahaha
 
Faida Inapaswa waipate wananchi waliomchagua na sio yeye. Hapa kazi tu, aaala
 
Back
Top Bottom