Faiza wa Sugu: Nilikuwa nauza mwili kwa faida

Faiza wa Sugu: Nilikuwa nauza mwili kwa faida

Tunajua mawingu wanampiga vita Sugu,uzuri sisikilizi radio yao wala tv
 
Tunajua mawingu wanampiga vita Sugu,uzuri sisikilizi radio yao wala tv
 
Atakuwa anao ila may be hashauriki . bad enough MTU mzima huyo
Tena jana ulikuwa ukimwangalia usoni,unaona kabisa "Yamesaa yameenda",kama ni rubani basi mbioni kukabidhi leseni aachie vijana
 
Anatafuta mwanaume wa kumfia. Dah dah bongo dar es salaam
 
Ni funzo tunapochagua wake na viburudisho tuwe tunawapa mental exams kabla!...
Hapa Sugu alipotea!
 
Hayo ya Faiza si mageni katika jamii yetu. Wadada kibao wapo hivyo ila wanajishaua tu. Kosa lake ni kuyaweka hadharani mambo yake ya kipuuzi aliyoyafanya. By the way...napenda confidence yake, naishangaa mno!
 
Basata iko wapi kufungia vipindi kama hivi mtu anaenda studio uchi
Halafu eti anampenda sugu sugu kweli ni wakutembea na mtu anaevaa namna hii ninavyomjua mimi sugu ni mkatoliki safi asipobadilisha uvaaji wake sugu ataishia kumsikia bungeni tu
 
Sio mama yangu na Dada zangu,,,hongera kwenu nyinyu
Bora useme wewe huyu kijana hana adabu sijui kwao hakuna wanawake jana nilimpa maneno hadi akaingia mitini nashangaa Leo sizioni comments zangu sijui moderator wamezifuta mxyiuusshh..
 
Back
Top Bottom