Faizafox anautesa moyo wangu jamani

Yaani Wewe Una Namba D lakini unamjua Kindakindaki FF,Ebu Njoo na ID yako yenye Namba B.
 
KAMA WEWE UNAONA KU APPROACH SIO SHUGHULI YA KUFANYA NAOMBA KAA KIMYA ...tatzo wewe ni ga.y kama sikosei hivyo unaona wivu mimi kumpenda faiza
Upumbavu nacho ni kipaji,
Hongera sana,


Nilikuchokonoa ili ni prove tu kua wewe ndio yule niliyemfikiria kuanzisha hii ID mpya?
nashukuru kwa upumba.vu uliotunukiwa hukulitambua hilo na umeingia mtegoni kiulainiii.
 
Tunaompenda faiza tuko wengi sana ila wewe umejitokeza hadharani-hongera but mimi sio kimahaba,nampenda as my dada,nampenda mpaka wife anajua,pamoja na nifah ila huyu nifah YANGA imeongeza mapenzi yangu kwake,nawapenda sana hawa watu.
 
Upumbavu nacho ni kipaji,
Hongera sana,


Nilikuchokonoa ili ni prove tu kua wewe ndio yule niliyemfikiria kuanzisha hii ID mpya?
nashukuru kwa upumba.vu uliotunukiwa hukulitambua hilo na umeingia mtegoni kiulainiii.
Angalia bibie utajapigwa mido finger ...we endelea kumtamani dume suruali tu.
 
Nasikia huyo mubibi anaswaga za kichawi chawi mkuu

Nashauri upite kwanza kwa Mshana Jr akupe zindiko

Au ikishindikana kabsa tafuta wa umri wako tu, Scorpio me na Valentine wapo single

Ila usije mparamia Heaven Sent au Eviline maana utaambulia matusi tupu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…