Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Mwanamama FaizaFoxy , NGULI na mtabobezi wa maswala ya mawasiliano ni tishio hapa jamvini ndio maana anaogopwa na kushambuliwa kila anapoandika.
Hamna wa kumshindia kwa hoja, iwe Ni kwenye siasa, uchumi, dini, teknolojia, social issues, na Kila kitu. Wanaume dhaifu humuona FaizaFoxy Ni kiumbe hatari kwao.
Tanzania tunahitaji wanawake aina ya FaizaFoxy ili nchi inyoke
Hamna wa kumshindia kwa hoja, iwe Ni kwenye siasa, uchumi, dini, teknolojia, social issues, na Kila kitu. Wanaume dhaifu humuona FaizaFoxy Ni kiumbe hatari kwao.
Tanzania tunahitaji wanawake aina ya FaizaFoxy ili nchi inyoke