Faizafoxy amewazidi akili, uelewa na ufahamu wanaume wote wa JF ndio maana hawampendi

Faizafoxy amewazidi akili, uelewa na ufahamu wanaume wote wa JF ndio maana hawampendi

🤣🤣🤣🤣Uzi utajaa mapovu mingi mingi
 
Mwanamama FaizaFoxy , NGULI na mtabobezi wa maswala ya mawasiliano ni tishio hapa jamvini ndio maana anaogopwa na kushambuliwa kila anapoandika.

Hamna wa kumshindia kwa hoja, iwe Ni kwenye siasa, uchumi, dini, teknolojia, social issues, na Kila kitu. Wanaume dhaifu humuona FaizaFoxy Ni kiumbe hatari kwao.

Tanzania tunahitaji wanawake aina ya FaizaFoxy ili nchi inyoke

Acha vituko; wanaume "WOTE" JF wanashindwa kwa hoja na FaizaFox? Wanahitajika kina FaizaFox wawili ili tumpate Mohammed Said mmoja.

Sio maneno yangu, ni kwa mujibu wa maandiko ya dini yake (Qur'an na Hadith).
 
Mwanamama FaizaFoxy , NGULI na mtabobezi wa maswala ya mawasiliano ni tishio hapa jamvini ndio maana anaogopwa na kushambuliwa kila anapoandika.

Hamna wa kumshindia kwa hoja, iwe Ni kwenye siasa, uchumi, dini, teknolojia, social issues, na Kila kitu. Wanaume dhaifu humuona FaizaFoxy Ni kiumbe hatari kwao.

Tanzania tunahitaji wanawake aina ya FaizaFoxy ili nchi inyoke
utaimba sana nyimbo na mapambio lakini hiko kibibi hakiwezi kukurizisha kingono!

Tafuta saizi yako
 
Nafikiri wanawake wote wametuzidi wanaume akili, uelewa na ufahamu, siyo yeye tu hata wewe, hata Samia Suluhu n.k. so tunajua ila ahsante kwa kukutukumbusha.
Wewe ndie uliyezidiwa akili na Wanawake

Usijeneraizi wanaume wote
 
Ukiona hivyo akiombwa hatoi mdio maana[emoji125][emoji125][emoji125]
Mwanamama FaizaFoxy , NGULI na mtabobezi wa maswala ya mawasiliano ni tishio hapa jamvini ndio maana anaogopwa na kushambuliwa kila anapoandika.

Hamna wa kumshindia kwa hoja, iwe Ni kwenye siasa, uchumi, dini, teknolojia, social issues, na Kila kitu. Wanaume dhaifu humuona FaizaFoxy Ni kiumbe hatari kwao.

Tanzania tunahitaji wanawake aina ya FaizaFoxy ili nchi inyoke
 
Faiza ni DUME

na tena anazo I'D mbili,mojawapo ni ile ya kuwatetea akina Sykes na kuuzia vitabu vya historian ya enzi za TAA
 
unajua dunia hii technology imekuwa ,unaweza kumsifia mtu wakat yy ana copy huko na ana paste hapa. halaf baadae unamsifia.

marekali kuna kundi moja la wanamuziki kipind cha nyuma kilikuwa maarufu hata kufikia kupewa tuzo kubwa kwa kile walichokuwa wanafanya ,baada ya muda ilikuja gundulika kuwa nyimbo walizokuwa wanaimba sio zao ....
 
Faiza ni DUME

na tena anazo I'D mbili,mojawapo ni ile ya kuwatetea akina Sykes na kuuzia vitabu vya historian ya enzi za TAA
Aaaacha basi mkuuu what ni dume kweli 😢😢😢😱😱
 
Acha vituko; wanaume "WOTE" JF wanashindwa kwa hoja na FaizaFox? Wanahitajika kina FaizaFox wawili ili tumpate Mohammed Said mmoja.

Sio maneno yangu, ni kwa mujibu wa maandiko ya dini yake (Qur'an na Hadith).
Ili wakafanye nini kwenye jukwaa la history?r
 
Back
Top Bottom