Kwani FaizaFoxy kasomea Nini?Je ni mwanamke kweli? Je yeye ndio smart woman pekee humu?
U smart wa mtu hatuupimi kwa kuangalia yale anayoyaandika kutoka kwenye vitu alivyofundishwa.
Tunapima smartness ya mtu kwa uwezo wake wa kufikiria mambo, kujenga hoja yenye mashiko kwenye mada nyepesi au nzito!
Kuna some girls sio waanzisha thread ila comments zao kwenye mada yoyote unajua kabisa there is gold and Diamonds upstairs..
Sio kuelezea vitu ulivyosoma
Wanaume wepi?
Amethibitisha mtume muhammad ni muongo aliposema [emoji116]Mwanamama FaizaFoxy , NGULI na mtabobezi wa maswala ya mawasiliano Ni tishio hapa jamvini ndio maana anaogopwa na kushambuliwa Kila anapoandika.
Hamna wa kumshindia kwa hoja, iwe Ni kwenye siasa, uchumi, dini, teknolojia, social issues, na Kila kitu.
Wanaume dhaifu humuona FaizaFoxy Ni kiumbe hatari kwao.
Tanzania tunahitaji wanawake aina ya FaizaFoxy ili nchi inyoke
Simple answerBila mimba ungekuwa wapi wewe leo hii?
Ohh yesssHapa ukipambana kuuangusha mfumo dume
Wanawake tutafute elimu na pesa tuuporomoshe mfumo dume
Ukiwa na elimu na pesa, mwanaume atakushinda nini? Tabia ya utegemezi imetufanya tuwe watumwa, tudhalilishwe na kudharauliwa. Ukiwa na elimu yako na pesa zako unatanua wigo wa uhuru wako. Utamtoa mtu wako kwa ajili ya candle light dinner, utampeleka vacation, utamjengea mama yake nyumba huko...www.jamiiforums.com
who is attention seeker? Me or you? Nina zaidi ya miaka 10 JFSimple answer
Nisinge exist ningekuwa bado sperm au wewe unayahusudu sana maisha pasi na kujua mbeleni utaliwa na funza utakuwa fossils fuels
Ila kwa mada hii kwamba ametuzidi uelewa na akili bora ungesema amenizidi Mimi mlevi ila ukisema wote umetumia vigezo gani kupima IQ ya mtu ambavo viko approved unless otherwise utakuwa umeandika kwa mihemuko au we ni attention seeker
Si unaona huna hoja za msingi [emoji23][emoji23][emoji23]ukweli umekuchoma mpaka umeanza kuni search Mimi mgeniwho is attention seeker? Me or you? Nina zaidi ya miaka 10 JF
View attachment 1274894
Sorry embu cheki hata haya majibu yako yaliofatana seriously hivi ndo nini sasaOhh yesss